mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Aisee kumbe sio simba tu wanaonyooshwa na huyu Gabachori.
Ni kweli kabisa na heri hao wahindi Watanzania ndo kabisaUbalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji.
Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa...
Wamejichanganya kwa waswaKina Dewj ni wabongo sio wahindi.
Hapo tu ndio wajindi wa India wanapojichanganyaga wamidhani ni wahindi wenzao.
Kumbe ni wabongo tena wa mikoani
Mo tapeli sana. Yaani Tanzania shamba la bibi ndo maana wamefanikiwa biashara yao. Kusema ukweli mimi siku hizi nanunua Azam tu. Mo sometimes hata vitu vyeo havina ubora.Utajiri wa Mo ni wa kitapeli, anawachukuaga hao wahindi huko India anakuja kuwalaza kwenye makontena kule kilipo kiwanda chake maeneo ya Vingunguti
Sidhani kama wale wahindi wanaingia nchini kihalali
Naimesikia hii story from multiple sources and multiple channelsMzee dewji huyo mzee inaonekana mafia sana since kitambo
Aisee
Tangu lini Magufuli akadhibiti wahindi au watu weupe, yeye anakomaa na wakenya au mtu yeyote mweusiHawa wahindi wanaoajiriwa Tz huwa sielewi nikwanini wamejazana Tz huku, kuna watz kibao wenye sifa. Nampongeza Magufuli kwa kuanza kukataa ku renew vibali vyao vya kazi mara wamalizapo mikataba yao, nahili limeanza December hii.
Kuna Uzi uliwahi letwa hapa na Mshanajr kuhusu mafekeche ya huyo mzee way back during Mwinyi's era .Naimesikia hii story from multiple sources and multiple channels
Hata wasambaaWaha Wa Kigoma Wanasema
Aho Lelo (Hapo Sasa)
MO hajawahi kuwa muajiri mwenye kufuata sheria na misingi ya ajira, haki na utu. MO ni beberu tu.Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji.
Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa...
Ah ah mzee ushafanya Nazi hapo nnKuna magheto ndani ya viwonder vyake. Pale wanakaa ma supervisor wa viwandani Ila hawaruhusiwi kutoka nje ya geti maana hawana vibali vya kukaa nchini.
Ni ma supervisor lkn Ni slave labourers. Wana roho mbaya kuliko ya mbwa Koko dhidi ya vibarua wa kiswahili. Mo au ndugu yake akiingia kiwanda utadhani Ni vimbwa vinatingisha mkia boss akiwatupia mfupa uliooza.
Vingungut maeneo gani mkuu nikaripot Kwa uhamiaj donge nono wana promotion nowadays.Utajiri wa Mo ni wa kitapeli, anawachukuaga hao wahindi huko India anakuja kuwalaza kwenye makontena kule kilipo kiwanda chake maeneo ya Vingunguti
Sidhani kama wale wahindi wanaingia nchini kihalali
Kuna kitu huwa kinapatikana kwa hao wahindi ambacho hakipatikani kwa wabongo...uliza waliofanya nao kazi wakupe sifa zaoHawa wahindi wanaoajiriwa Tz huwa sielewi nikwanini wamejazana Tz huku, kuna watz kibao wenye sifa. Nampongeza Magufuli kwa kuanza kukataa ku renew vibali vyao vya kazi mara wamalizapo mikataba yao, nahili limeanza December hii.
cc: Waziri mstaafu Hamis KigwangallaUbalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji...
Gabachori kamnyoosha Kigwangalla!Aisee kumbe sio simba tu wanaonyooshwa na huyu Gabachori.
Nimefanya nao kazi/nafanya nao kazi Kwahio hakuna jipya zaidi yakuwa wambea na wanoko waonekane wema kwa maboss wao.Kuna kitu huwa kinapatikana kwa hao wahindi ambacho hakipatikani kwa wabongo...uliza waliofanya nao kazi wakupe sifa zao