Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Ubalozi wa Japan ulifanya hafla ya utiaji saini Mradi wa Ujenzi wa Kitalu cha Darasa la Kiwango cha Juu katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Sakura iliyopo Wilaya ya Arusha, Mkoa wa Arusha.
Serikali ya Japani ilikubali kuongeza msaada wa ruzuku hadi kufikia Dola za Marekani 140,103 kwa mradi wa Msaada wa Miradi ya Usalama wa Binadamu wa Grassroots (GGHSP).
Mkataba wa mradi huo ulitiwa saini na H.E. Bw. MIKAMI Yoichi, Balozi Mteule wa Japan na Bw. Thomas Reuben, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Sakura.
Tusubirie jengo la darasa hilo likamilike kisha sifa apewe Mama Samia ilihali waliotoa pesa ni wajapani. Zimetoka dola 140,103 za kimarekani sawa na shilingi 372,305,724.87 za kitanzania. Muda sio mrefu jengo likisimama tutasikia viongozi wakisema kuwa Samia ametoa mchango mkubwa sana kwa shule hii.
ASANTENI SANA WAJAPANI! ASANTE SHIGERU ISHIBA NA SERIKALI YAKO TUKUFU YA JAPANI.
ARIGATOU GOZAIMASU
Serikali ya Japani ilikubali kuongeza msaada wa ruzuku hadi kufikia Dola za Marekani 140,103 kwa mradi wa Msaada wa Miradi ya Usalama wa Binadamu wa Grassroots (GGHSP).
Mkataba wa mradi huo ulitiwa saini na H.E. Bw. MIKAMI Yoichi, Balozi Mteule wa Japan na Bw. Thomas Reuben, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Sakura.
Tusubirie jengo la darasa hilo likamilike kisha sifa apewe Mama Samia ilihali waliotoa pesa ni wajapani. Zimetoka dola 140,103 za kimarekani sawa na shilingi 372,305,724.87 za kitanzania. Muda sio mrefu jengo likisimama tutasikia viongozi wakisema kuwa Samia ametoa mchango mkubwa sana kwa shule hii.
ASANTENI SANA WAJAPANI! ASANTE SHIGERU ISHIBA NA SERIKALI YAKO TUKUFU YA JAPANI.
ARIGATOU GOZAIMASU