wewe ni genious,ujasusi m2pu unahusika hapa,unafikiri mwalimu wa majohe anawe kupata kibali cha kununua???,,,watanunua wa2 mahususi,alaf watakapokuwa wakipanga madili yao jamaa wananote"""oooh makonda anaondoa uhai"walijuaje"??
wee unamdhihki makonda kwa kumuona hana akili wakati mwenzako ana maisha matam,siulize wewe mwenye akili unaishi maisha ya kuunga unga,je? ungekuwa huna akili kama alivo bashite unaemsema 'sasa ivi si ungekuwa unavusha wa2 kwenye mafuriko wasilowe alaf unashikishwa buku,then mvua ikiisha unarudia kazi yako ya kukaba!!! sio kwamba namtetea bashite no,,,nataka uelewe maisha ni bahati mzee baba!!! kuna wa2 wanamasters lakini wanatembea na bahasha kutwa kutafut job,,,na kunawa2 wameishia form 4 lakini ni wabunge[kama musukuma!!!!]