Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19

Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia

Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho

Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300

halafu Marekani huaga wapumbavu sana !😏
kipindi cha watu kupotea potea tena waliwambia Wamarekani warudi makwao eti hali ya usalama ni tete Tanzanzania.

sasa Marekani yenyewe imezidiwa eti wanawambia raia warudi makwao !

ina maana Marekani ni salama kuliko Tanzanzia ?
 
Wamesisitiza Kabisa kuwa Must return to US now. Na hii wameitangaza leo ila walishaanza kuwalazimisha raia wake waondoke Tanzania. Huu ugonjwa ni hatari halafu imagine uupate ukiwa Tanzania where our medical system is very poor. Hata kama ni mimi nina option ya kuondoka I will surely do so.

Something is not right somewhere.... Only great thinkers can understand.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Huko kwao hospitali zimefurika wagonjwa, acha waende wakafie nyumbani
 
Marekani wanajitambua intelligence yao ipo juu nahisi corona itaweka kambi, na pia tanzania ni mficha maradhi kifo umuumbua
intelijensia yao ingekuwa juu zaidi wasipuuza na sasa wanajifungia majumbani bila kazi na leo watu 3.5 wamejitangaza jobless, hiyo intelijensia haikuliona hilo, inaangalia Tz tu ambapo watu wao waliyoko hapa hawafik hata buku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19

Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia

Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho

Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300


Labda huku ndio kutishana Magufuli alikuwa anakuzungumzia. Marekani imetoa wito huo wa kuwataka raia wake wote nje ya Marekani (haijalishi kama uko Afrika, China, Ulaya, Marekani Kusini) kuwa warudi Marekani. Kwa hiyo hili la Tanzania si jipya. Tayari Wamarekani wengi wamerudi kutoka nchi mbalimbali duniani. Na kusema ukweli inawezekana wanaobakia Tanzania watakuwa salama zaidi kuliko wale watakaosema warudi Marekani ambako maambukizi ni kama kichaka kuungua...
 
Labda huku ndio kutishana Magufuli alikuwa anakuzungumzia. Marekani imetoa wito huo wa kuwataka raia wake wote nje ya Marekani (haijalishi kama uko Afrika, China, Ulaya, Marekani Kusini) kuwa warudi Marekani. Kwa hiyo hili la Tanzania si jipya. Tayari Wamarekani wengi wamerudi kutoka nchi mbalimbali duniani. Na kusema ukweli inawezekana wanaobakia Tanzania watakuwa salama zaidi kuliko wale watakaosema warudi Marekani ambako maambukizi ni kama kichaka kuungua...

Maoni ya wazee yanasema janga / plague linapotokea ukae hapo hapo kulikabili , kukimbia hakusaidii. Tulia hapo ulipo ujilinde basi.
 
Maoni ya wazee yanasema janga / plague linapotokea ukae hapo hapo kulikabili , kukimbia hakusaidii. Tulia hapo ulipo ujilinde basi.
Ndiyo hivyo; kama Marekani kungekuwa hakuna wagonjwa au wamecontrol basi ungesema wanakimbilia mahali salama. Hapa sasa hivi bado moto unawaka... ni bora ujifungie ndani Tanzania kuliko kuja hapa
 
Kwahiyo unataka wakutaje wewe? kwanini unataka kuona wengine tu ndo wameuugua harafu wewe wemzima? Kwanini usi assume wote ni wazima kama ulivyo wewe?
Kauli yake kwenye sentensi ya mwisho isitimie
 
Back
Top Bottom