Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19

Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia

Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho

Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300

Marekani kwenyewe kumepamba Moto. Ndiyo nchi inayoongoza Kwa maambukizi
 
Unaweza ficha wagonjwa elf 80?
Gonjwa halifichi nani alikwambia linafichwa? sema labda kama unataka kulazimisha data zako mwenyewe ama huyo mmarekani anataka data zake mwenyewe.

Wangekuwa wanaficha hospitali sahivi zingekuwa zimejaa mpaka zimetema wagonjwa wanalala nje.
Unafahamu idadi ya watu ambao wameshapimwa?
 
Sifahamu , ila sijaona hospitali hakujaa ama mtu anapimwa corona anakutwa postive anaambiwa nenda nyumbani?
Idadi ya watu wanaopimwa ndiyo inaweza kukupa mwangaza na siyo assumptions.
 
angalia nchi zilizoathirika sanA na c-19
ni
1)itary
2)span
3)german
4)ufaransa
5)uk
6)ureno
7)roman
8)usa
china aliingi tu kwa sabab ya mfumo wake wa chakula... ila ukwel ni kuwa ha
 
The biggest problem most African governments have is overstating their success and understating their failures, while doing minimal to defeat true challenges.
 
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19

Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia

Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho

Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300

 
Marekani kwenyewe kumepamba Moto. Ndiyo nchi inayoongoza Kwa maambukizi
Usiwe mjinga huna vipimo unajisifu huna maambukizi wenzetu wamejipima wengi ndio maana wakapata hiyo idadi kubwa ya waathirika jamani tuache midomo tusije umbuka mbeleni Mdomo uliponza kichwa
 
Wapumbavu hawa wamarekani

Nchi masikini zina uhaba wa madaktari halafu leo marekani imetangaza kutaka kuwaajiri madaktari toka nchi masikini ikiwemo Tanzania kwenda kuwasaidia kupambana na COVID-19!!!
 
Idadi ya watu wanaopimwa ndiyo inaweza kukupa mwangaza na siyo assumptions.

assumptions ni zako maana tuna official ambayo inayopima ndo imetupa majibu wapo 13. Sasa kama huamini official wewe wangapi umepima? anayefanya assumption ni yule anayekubali namba za official ama anayezikataa?
 
Usiwe mjinga huna vipimo unajisifu huna maambukizi wenzetu wamejipima wengi ndio maana wakapata hiyo idadi kubwa ya waathirika jamani tuache midomo tusije umbuka mbeleni Mdomo uliponza kichw

Huo ndio ukweli, hizi tarakimu za wagonjwa hapa kwetu ni maigizo tu na kuuza sura kwasababu hatuna nyenzo za kupima kwa uhakika kuwa hao tunaosema ni wazima ni wazima kweli!!! Mimi nina uhakika kama tukipata test kits kama wanazotumia wenzetu huko halafu tukawapima angalau wabunge wetu tu; matokeo tutakayopata ya waliokuwa na COVID-19 yanaweza kutushangaza!!!
 
assumptions ni zako maana tuna official ambayo inayopima ndo imetupa majibu wapo 13. Sasa kama huamini official wewe wangapi umepima? anayefanya assumption ni yule anayekubali namba za official ama anayezikataa?
Eti official. Teh teh
 
assumptions ni zako maana tuna official ambayo inayopima ndo imetupa majibu wapo 13. Sasa kama huamini official wewe wangapi umepima? anayefanya assumption ni yule anayekubali namba za official ama anayezikataa?
Kalagabaho kusoma hujui hatapicha zero
 
Marekani ni kubwa mkuu. Ni kama bara zima liwe nchi moja.


USA ukubwa wake ni kama 30% ya ukubwa wa Afrika. (USA 9.834 milliom KM squared na Afrika 30.37 million Km squared.
 
halafu Marekani huaga wapumbavu sana ![emoji57]
kipindi cha watu kupotea potea tena waliwambia Wamarekani warudi makwao eti hali ya usalama ni tete Tanzanzania.

sasa Marekani yenyewe imezidiwa eti wanawambia raia warudi makwao !

ina maana Marekani ni salama kuliko Tanzanzia ?
Tanzania sio salama kuliko marekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya wameshaamua kuondoa Raia wao wote na kuwarudisha kwao kutokana na tishio la korona Tanzania wakati hata kwao ugonjwa upo.
Sisi tumetelekeza Raia wetu.huko kwenye nchi mbalimbali kwenye ugonjwa
Naamini ubalozi wa marekani watakuwa wamesoma post ya mpuudhi mtoa post
 

Attachments

  • Screenshot_20200327-203227.png
    Screenshot_20200327-203227.png
    255.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom