Sio rahisi mtaishia uliwa tu. Na kwa taarifa yako ule Ubalozi umepokea nyongeza toka AfghamWangemchoma hadi Balozi mwenyewe kuweka kumbukumbu sawa!
SikweliMarekani alibugi sana kwa kumuondoa Saddam akijua fika ndio nguvu iliyokuwepo hapo jirani na Iran
Wameweka figisu wee mpaka wakawapa nguvu Shia ambapo Iran alikataa kabisa kuungana nao hapo mwanzo kwa kuwa ni Kurd
Sasa mambo yamekuwa mambo naona Iran anataka kuwepo hapo na USA anaisoma
Yaani vita ya Middle East ni ngumu kuisha huku Israel kwa pembeni Lebanon na Syria daaa
Sent from my iPhone using Tapatalk
Uhuru Una Gharama. Moja wapo ni kifoMnauwa mhandisi mmoja wa kimarekani halafu mnauliwa kama kumbikumbi halafu mnajisifu. Nashindwa kuelewa utimamu wa akili wa haya majitu.
US = Muda Wake Wakubakia IRAQ Unahesabika [emoji12][emoji14][emoji12]Sio rahisi mtaishia uliwa tu. Na kwa taarifa yako ule Ubalozi umepokea nyongeza toka Afgham
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio maana mnajilipua kila kukicha...? Mtaishia kufa na kuwaachia watoto wenu majuto tu
Wacha kuongea mambo uso yajua kijana au unajua klko turampeti?!....hawajaua mtu wala hawajachoma, wameingia tu kwa nguvu eneo la ubalozi
???!!!!hawajachoma moto, wameandamana na kuzingira tu, wangechoma ni kichapo cha mbwa mwizi tena...
Utumwa ni werevu maana wautumainiao, huishi maisha yao ila chini ya mjeledi. Ujasiri ni ujinga maana unakufa kuwapigania watumwa.ndio maana mnajilipua kila kukicha...? Mtaishia kufa na kuwaachia watoto wenu majuto tu
Ndio mnadanganyana huko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa sio?!US = Muda Wake Wakubakia IRAQ Unahesabika [emoji12][emoji14][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahisi mtaishia uliwa tu. Na kwa taarifa yako ule Ubalozi umepokea nyongeza toka Afgham
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka USA kuvamia Iraq, au kutetea Kuwait, kusaidia Libya, kuingilia maugomvu Syria, Kumchukia Iran na Venezuela, yana jibu moja tu, OIL, basi..Marekani alibugi sana kwa kumuondoa Saddam akijua fika ndio nguvu iliyokuwepo hapo jirani na Iran
Wameweka figisu wee mpaka wakawapa nguvu Shia ambapo Iran alikataa kabisa kuungana nao hapo mwanzo kwa kuwa ni Kurd
Sasa mambo yamekuwa mambo naona Iran anataka kuwepo hapo na USA anaisoma
Yaani vita ya Middle East ni ngumu kuisha huku Israel kwa pembeni Lebanon na Syria daaa
Sent from my iPhone using Tapatalk