TV zangu huwa ni CNN, BBC na kidogo Aljazeera. Wewe unaangalia wapi? TBC1? Jitahidi uwe na credible source ya news!Unaweza ukajipa moyo hivyo lakini moto umechomwa kwenye eneo la ubalozi ingawaje haukuunguza kama kule Tripoli nchini Libya..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TV zangu huwa ni CNN, BBC na kidogo Aljazeera. Wewe unaangalia wapi? TBC1? Jitahidi uwe na credible source ya news!Unaweza ukajipa moyo hivyo lakini moto umechomwa kwenye eneo la ubalozi ingawaje haukuunguza kama kule Tripoli nchini Libya..
Huu sasa ni upumbafu. Tunazungumzia UTUMWA & UHURU unaleta mambo ya Dini. Huna akili wala ubongo bali unatumia makamasi kufikiri.Hahaa. Kwa hiyo watu huru ndio nyie mnaoishi kwa dogma za Muhammad?
Alafu USA [emoji631] [emoji631] [emoji631] kila jambo wanamlaumu Iran[emoji1130][emoji1130][emoji1130][emoji1130] sijui wanakwama wapi Hawa super power eti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko huko unakoangalia wewe wamethibitisha kuwa Ubalozi umechomwa moto.Tunachoweza kuongeza ni kuwa moto huo haukuleta madhara makubwa kama yaliyotokea kule Libya.Na kwa vyovyote vile hizi si dalili nzuri kwa taifa hilo na si habari za kupendeza kwa wapenzi wake wanaoshangilia maumivu ya binadadamu wenzao kila pembe ya dunia Marekani ilipotia mguu.TV zangu huwa ni CNN, BBC na kidogo Aljazeera. Wewe unaangalia wapi? TBC1? Jitahidi uwe na credible source ya news!
Nyie waarabu weusi ndio watoa mapovu huku mkitetea magaidi, unatetea hawa magaidi sababu ya mafundisho ya Muhammad, so Dini inahusika ndioHuu sasa ni upumbafu. Tunazungumzia UTUMWA & UHURU unaleta mambo ya Dini. Huna akili wala ubongo bali unatumia makamasi kufikiri.
Over & Out
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hii nchi haitatawalika tena.Pia kuna uwezekano wa kuundwa kikundi kingine ili wachapane wenyewe Kwa wenyewe
Wewe ni mpumbafu. Kinjekitile, Mkwawa et al., wangekuwa kama wewe nchi hii isingekuwepo. Mandela, Mahlangu, et al wangekuwa na akili zikizoko matakoni kama zako, South ingekuwa bado chini ya Kaburu. Mahlangu amefaidi nini na uhuru wa Afrika Kusini.Nyie waarabu weusi ndio watoa mapovu huku mkitetea magaidi, unatetea hawa magaidi sababu ya mafundisho ya Muhammad, so Dini inahusika ndio
IRAN Kahusika Nakipi Mbna Anawatesa Sana Wayahudi Weupe Kmbe Mpaka Nyie Wayahudi Weusi Mnateseka[emoji23][emoji16][emoji3] poleni sana asee kwamateso muyaptayo [emoji12][emoji14][emoji12]Sisi twajua Iran ndo mhusika ila Pentagon ishapeleka vifaa kuhakikisha hakuna baya litalotokea hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua nashangaa sana super power kila jambo wanambwekea MUAJEMI tuuh[emoji23][emoji16][emoji23][emoji5]Alafu USA [emoji631] [emoji631] [emoji631] kila jambo wanamlaumu Iran[emoji1130][emoji1130][emoji1130][emoji1130] sijui wanakwama wapi Hawa super power eti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini uteseke ewe MYAHUDI wa Musoma [emoji3][emoji23][emoji16][emoji12][emoji14][emoji14]
Kila chenye mwanzo kina mwisho.Huu ni ukumbusho mkubwa na huruma kutoka kwa Allah kuwa tusimuamubudu yoyote isipokuwa YEYE mwenye nguvu isiyoshindika.Wacha kuongea mambo uso yajua kijana au unajua klko turampeti?!....View attachment 1308681
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaa, povuuuu, hizi ndio zenu, mnajifanya swala tano huku matusi, nyie mnaunga mkono al shabaab mnasema ni wapigania uhuruWewe ni mpumbafu. Kinjekitile, Mkwawa et al., wangekuwa kama wewe nchi hii isingekuwepo. Mandela, Mahlangu, et al wangekuwa na akili zikizoko matakoni kama zako, South ingekuwa bado chini ya Kaburu. Mahlangu amefaidi nini na uhuru wa Afrika Kusini.
Pili kutokana na akili za matope, kila anayewaunga mkono wapigania haki wa kiarabu ni Muislamu. Akili kitoto sana. Kwako kila anayempinga JPM ni CDM, akili za kipumbafu sana.
Kwaheri.
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah hii movie ya kusisimua sana, ila USA kajifunza kwa ule uzembe wa Benghazi, hauwezi jirudia tena, kwanza kashaongeza nguvuHuu uzi umenikumbusha issue ya Libya na movie yake 13 Hrs:Secret Soldiers of Benghazi
Hii sijui itakua na title gani
marehemu may they RIP
Tayari wanajeshi 700 emergency response kutoka Fort Bragg wamepelekwa Iraq....
Hawa ni infiltrate soldiers
Best and advanced military equipment zimepelekwa hapo...
Sasa kima yoyote alrudie huo upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
700 kwakuogopa Mawe 2Tayari wanajeshi 700 emergency response kutoka Fort Bragg wamepelekwa Iraq....
Hawa ni infiltrate soldiers
Best and advanced military equipment zimepelekwa hapo...
Sasa kima yoyote alrudie huo upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe ni msemaji wa marekani if.Tayari wanajeshi 700 emergency response kutoka Fort Bragg wamepelekwa Iraq....
Hawa ni infiltrate soldiers
Best and advanced military equipment zimepelekwa hapo...
Sasa kima yoyote alrudie huo upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app