Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Yah ndio 2navyo danganyana MKUU [emoji4][emoji2][emoji12][emoji14]Ndio mnadanganyana huko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa sio?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah ndio 2navyo danganyana MKUU [emoji4][emoji2][emoji12][emoji14]Ndio mnadanganyana huko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa sio?!
Kaka USA kuvamia Iraq, au kutetea Kuwait, kusaidia Libya, kuingilia maugomvu Syria, Kumchukia Iran na Venezuela, yana jibu moja tu, OIL, basi..
US = Muda Wake Wakubakia IRAQ Unahesabika [emoji12][emoji14][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
HAUJACHOMWA, IT WAS ONLY STORMED!Ubalozi wa Marekani nchini Iraq nchi ambayo Marekani imekuwepo kijeshi kwa muda mrefu tangu walipompindua Saddam Hussein umechomwa moto na waandamanaji wenye mrengo wa kuiunga mkono Iran. Hii inafuatia hapo juzi kushambuliwa kwa kambi za wanamgambo huo na kuuliwa wapiganaji wasiopungua 25.
Katika mashambulizi hayo ya juzi Marekani ilijigamba kushambulia Iraq na Syria kwa wapiganaji wenye kuiunga Iran. Hii ilitokana na shambulizi siku mbili kabla lililomuuwa mkandarasi wa kimarekani nchini humo.
Hawataisahau hiyo, kama Vietnam...Vijana street fighters walimtoa jasho Mogadishu mpaka akakimbia [emoji23][emoji23]
Wana kumbukumbu yao ya Black Hawk Down
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hawataisahau hiyo, kama Vietnam...
Kwa sasa wamestuka, wanatuma drones tu, ila wakijitusu kuingiza wanajeshi wamekwisha...
HAUJACHOMWA, IT WAS ONLY STORMED!
Hahaa. Kwa hiyo watu huru ndio nyie mnaoishi kwa dogma za Muhammad?Utumwa ni werevu maana wautumainiao, huishi maisha yao ila chini ya mjeledi. Ujasiri ni ujinga maana unakufa kuwapigania watumwa.
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, kumbe Trump ndio kasema? Basi sawa, mi nilitazama kwenye vyombo vya habariWacha kuongea mambo uso yajua kijana au unajua klko turampeti?!....View attachment 1308681
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha kwanini ?.Huyu jamaa aliyeingia Iraq kwa ubabe wa kutisha sasa hatakiwi na hata vibaraka aliowaweka na watu mitaani ndio kama hao wanatamani wasione hata ubalozi wake.Uwongo wa Marekani umekuwa hadharani kwa kila mtu.Ubalozi wa Marekani nchini Iraq nchi ambayo Marekani imekuwepo kijeshi kwa muda mrefu tangu walipompindua Saddam Hussein umechomwa moto na waandamanaji wenye mrengo wa kuiunga mkono Iran. Hii inafuatia hapo juzi kushambuliwa kwa kambi za wanamgambo huo na kuuliwa wapiganaji wasiopungua 25.
Katika mashambulizi hayo ya juzi Marekani ilijigamba kushambulia Iraq na Syria kwa wapiganaji wenye kuiunga Iran. Hii ilitokana na shambulizi siku mbili kabla lililomuuwa mkandarasi wa kimarekani nchini humo.
Hiyo hali haipo tena kwa Marekani,Kumbuka matamko ya Trump kila kukicha anataka kuondoa majeshi yake kila eneo.Watu wasioelewa vyema jinsi taifa lao linavyodidimia kiuchumi na kiheshima ndio wanaomshinikiza Trump aendelee kuweka majeshi nchi walizozivamia.
Huu uzi umenikumbusha issue ya Libya na movie yake 13 Hrs:Secret Soldiers of BenghaziUnaweza ukajipa moyo hivyo lakini moto umechomwa kwenye eneo la ubalozi ingawaje haukuunguza kama kule Tripoli nchini Libya..
KabisaKaka USA kuvamia Iraq, au kutetea Kuwait, kusaidia Libya, kuingilia maugomvu Syria, Kumchukia Iran na Venezuela, yana jibu moja tu, OIL, basi..