Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania: Uwezekano wa kupata Corona Dar ni mkubwa

Marekani yenyewe ipo stage ya ngapi...?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nyani haoni kundule...

Coronavirus: Obama says US response a 'chaotic disaster'
 
Yaani watanzania kweli tumezibwa macho pamoja na masikio na Hawa wanasiasa.
Jamani tunapewa tahadhari kuwa Hali si shwari sie tunaendekeza uzalendo????

We should be serious....jf ina wasomi wengi ambao angalau wamefika kidato Cha nne, mbona majibu haya hayaendani na namna ambayo huwa mnajikweza humu????

So mnahisi tuko salama kiasi gani na hii kovidi?
Take care watanzania wenzangu na mlioko dar....haya mafua yanaua
 
Umetumia muda gani kuandika ujinga na ufala kama huo? Unafikiri Tanzania ni kisiwa? Hata Zanzibar imeathirika vibaya ila wao wana busara na kutangaza idadi ya wagonjwa kama inavyopaswa ili kupambana na hili.

Lakini jinsi ulivyoandika inaonyesha wewe ni mmoja wa wale wajinga wanaofikiri Tanzania ni ya pekee haiwezi kuambukizwa sababu hakuna takwimu na rais ana wayeyusha.

Korona sio aibu acha ujinga na tumia akili kujikinga na kujilinda, wengi wanayo ndiyo maana madereva toka Tanzania wanakutwa nayo. Ufala wako utawaponza wengi maana utaisambaza kama ukiipata kwa kufikiri hakuna korona kama mjinga wa mwisho duniani.
 
Ni kweli Dar kuna uwezekano mkubwa wa kupata Covid19. Lakini kama wanaona kwao uwezekano no kidogo nadhani wanaruhusiwa kuleta ndege yao kuwakomboa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwahiyo US hakuna corona?
 
Kuna hilo lishamba linaitwa Bashite limetangaza hali ya Dsm ni shwari wakati baba yake kajificha kijijini huko
 
Wake up in your slumber.Ukinipa jibu kwa nini Ulaya imeshambuliwa sana kuliko Afrika,na kwa nini C-19 imeanzia China halafu ikahamia Korea ya kusini,then ikaenda Ulaya ikamalizia Marekani,na Africa ni kidogo sana nitakuelewa.Otherwise nyamaza,hujui kitu,usiendelee kujitia aibu.
 
Nilikuwa najua kwamba watu ni wajinga lakini si kwa kiwango hiki
 
Ila akili za Bashite huwa anazijua yeye mwenyewe na babake jamani msituhusishe nae
 
Yaani mi nipo huku Siioni hiyo hali anayosema Marekani, yaani nisiamini ninachokiona niamini anachosema Marekani cha kusikia...?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah we jamaa 😂😂😂😂

Long time no see meeen 🤣🤣🤣🤣🤣

Anyway huwezi nikumbuka now, where's khataan, Mgen, Ntuzu dah! Those times JF was HGT for real hahaha
 
wanazengo hebu naomba ufafanuzi wa hili neno Global Level 4 Health Advisory for COVID-19
 
Je, Wao wamekufa wangapi na kwetu wamekufa wanagapi? wasituchanganye!!
 
Mbona wao wanapukutika hatuhangaiki nao? Si wawaambie watu wao waende Kenya?

Mbona waliwaambia mwanzoni warudi USA wakagoma na kusema Ni Bora kubaki Tz kuliko kwenda kwao?

Kenyans come and take your masters with you to Kenya! The failed state.

Watanzania tuwe majasiri, tuache hofu za kipumbavu, haiwezekani kwao wanakufa maelfu halafu wanatusimamia sisi. Fvcckk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
May 13, 2020
London, UK
Coronavirus: Tanzania hospitals overwhelmed - US
Image copyrightAFPImage captionTanzanians have been sceptical of the government's assurance that the crisis was not serious
The US embassy in Tanzania has warned that there is a risk of "exponential growth" of Covid-19 cases in the country, at a time when the government is not releasing data on new cases.
It added that hospitals in the main city, Dar es Salaam, were "overwhelmed" and that the chance of contracting the virus was "extremely high".
The embassy did not, however, give any evidence to back up its claims.
Tanzania's president has accused health officials of exaggerating the crisis.
John Magufuli has repeatedly urged people to attend services in churches and mosques, saying that prayers "can vanquish" the virus.
However, recent videos of night burials shared on social media have caused some to call into question the government's approach.
The World Health Organization (WHO) has also expressed concern about the government's strategy.
On 29 April, the last day official data was released, there were 509 cases, with 21 deaths.
Last week, President Magufuli revealed that he secretly had animals and fruits samples tested at the national health laboratory in charge of coronavirus and that a papaya (paw-paw), a quail bird, and a goat had returned positive results.
He later closed the laboratory and suspended the head.
Image copyrightAFPImage captionSome churches have stopped services, but many are still packed on Sundays
The Tanzanian president is among several African leaders who have received orders for a herbal tonic touted by the president of Madagascar as a cure for Covid-19.
The WHO has warned against using untested medicine.
What did the US embassy say?
The US embassy statement advised Americans living in Tanzania to stay at home and limit interactions with people other than those they live with.
It went on to claim that hospitals in Dar es Salaam are overwhelmed and warned that due to the limited capacity of the healthcare system in the country, patients may face life-threatening delays for medical care.
The BBC asked the embassy to share its evidence but was referred to the Tanzanian ministry of health.
Image Copyright @usembassytz@USEMBASSYTZ
Report

More than four million people worldwide have contracted coronavirus, and the US has the highest number of infections - at least 1.3m - according to the John Hopkins University.
The Director of the US National Institute of Allergy and Infectious Diseases, Dr Anthony Fauci, said on Tuesday that the US death toll was probably higher than the official figure of 80,000.
What is being said in Tanzania?
Government spokesman Hassan Abbasi told the BBC he had "no comment" in response to the US embassy's statement.
The authorities have previously rejected accusations that the government was operating in secrecy and denial.
"The claims that Tanzania has wavered and isolated itself in the fight against Covid-19 are not true because Tanzania has provided leadership in the economic bloc of the Southern African countries (Sadc), which the country chairs, and it has continued to do so with respect and all efforts required," said Foreign Affairs Minister Palamagamba Kabudi.
Image copyrightSTATE HOUSE TANZANIAImage captionJohn Magufuli (R) was one of the first leaders to do the "Wuhan shake"
However, a prominent Tanzanian opposition leader has accused Mr Magufuli, who missed a key meeting of East African leaders on Tuesday to deal with the coronavirus crisis, of making the country a "pariah".
Zitto Kabwe accused the president of "practising harmful policies" that would lead Tanzania to "unmitigated health and economic challenges".



Media captionCoronavirus: How Covid-19 is affecting remittances to Africa
Several MPs from the main opposition party, Chadema, have boycotted parliamentary sessions because they fear catching the virus.
The party said it ordered its members to quarantine following the death of three MPs in April - though the deaths have not been linked to coronavirus.
Life goes on as normal despite Covid-19
By Sammy Awami, BBC News, Dar es Salaam

The health alert from the US embassy does not necessarily mean the relationship between Tanzania and the US is deteriorating.
However, the unusually strong words used in the statement speaks volumes about what the US believes to be the magnitude of the disease in the country.
The lack of daily updates from the government makes it difficult to know for sure whether the situation in the country really is out of control.
Whatever the truth is, life has hardly changed from how it was before Tanzania reported its first Covid-19 case in March.
Markets and shopping centres continue to be packed with people, raising concerns that the virus could be spreading fast.
Many, however, wear masks and other face covering to protect themselves.
Shops, market centres, pubs and places of worship have also put water buckets and soap at entrance points and demand people wash their hands before entering
 

Tanzania inaenda kuwakomboa watanzania waliokwama India, bora kufia Mwananyamala kuliko Bangalore India.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…