Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania watoa tahadhari ya uwepo wa tishio la shambulio la kigaidi

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania watoa tahadhari ya uwepo wa tishio la shambulio la kigaidi

Screenshot_20230126-131013.png
 
Hujajibu swali we mpumbavu! Mimi sijaleta ujuaji... tuambie Hamza ni nani na alifanya nini?! Na zipi sababu za yeye kufanya aliyofanya?!
Kila gaidi ana sababu zake huwezi justify kuua Polisi eti kisa Kuna sababu, hata Al Shabaab hawauwi bila sababu za kidini, kisiasa n.k

Sasa kwa intelijensia yoyote kama mtu aliwahi piga video za tik tok akiwa na pistol ilipaswa wajue anaweza kuwa threat siku Moja.

Sasa hiyo ni failure ya intelligence, sahivi Kuna teknolojia nyingi kama za machine learning zinaweza predict uhalifu based on social media extremism Sasa mnakaaje kimya mpaka siku tukio linatokea alafu una justify huo ujinga kwa kusema eti "ana sababu"

Kwa akili kama zako no wonder Tumeibiwa Makinikia miaka 20 huku mnajiita majasusi!!
 
Kila gaidi ana sababu zake huwezi justify kuua Polisi eti kisa Kuna sababu, hata Al Shabaab hawauwi bila sababu za kidini, kisiasa n.k

Sasa kwa intelijensia yoyote kama mtu aliwahi piga video za tik tok akiwa na pistol ilipaswa wajue anaweza kuwa threat siku Moja.

Sasa hiyo ni failure ya intelligence, sahivi Kuna teknolojia nyingi kama za machine learning zinaweza predict uhalifu based on social media extremism Sasa mnakaaje kimya mpaka siku tukio linatokea alafu una justify huo ujinga kwa kusema eti "ana sababu"

Kwa akili kama zako no wonder Tumeibiwa Makinikia miaka 20 huku mnajiita majasusi!!
Unaongea kwa mihemko hali ya kuwa hakuna ujualo...

Unakunya tu hapo kwa sababu umekaa kwa amani na utulivu huku kuna wanaume wanateseka kwa ajili ya wajinga wa design yako. Niishie hapo

HUNA UNACHOJUA. KWENYE 10% WEWE UNA 0.02%

#Nawasilisha
 
Aaah hujanishawishi bado
😂😂😂

Wale hata kula, watoto kusoma na Kodi wengi wao ni mtihani kwa sababu waliendekeza elimu ile na wakaidharau elimu dunia... mbali na hapo ni watu wa kupingapinga kutokana na ujinga

Wamejawa na majungu tu na chuki hawana lolote!

Akili ya namna hiyo hawana... hata usiwe na wasiwasi. Matukio ya design ile husukwa na wabobezi tena wa mbali na wanakuwa na agents wao wachache hata wasiojulikana na ni wageni maeneo hayo na hawanaga njaa.

Hao maulamaa hapo mtaani kwako we achana nao Mama, jiachie! Kula maisha 😅🤙🏾
 
😂😂😂

Wale hata kula, watoto kusoma na Kodi wengi wao ni mtihani kwa sababu waliendekeza elimu ile na wakaidharau elimu dunia... mbali na hapo ni watu wa kupingapinga kutokana na ujinga

Wamejawa na majungu tu na chuki hawana lolote!

Akili ya namna hiyo hawana... hata usiwe na wasiwasi. Matukio ya design ile husukwa na wabobezi tena wa mbali na wanakuwa na agents wao wachache hata wasiojulikana na ni wageni maeneo hayo na hawanaga njaa.

Hao maulamaa hapo mtaani kwako we achana nao Mama, jiachie! Kula maisha 😅🤙🏾
Kaka una mwandiko mzuri kweli, haya ngoja niendelee kula maisha
 
Kaka una mwandiko mzuri kweli, haya ngoja niendelee kula maisha
Na siku ukiwa na kibarua hapo kwako labda cha ujenzi huenda unataka kuvunja ukuta ili upanue nyumba au kuna shughuli yoyote ya ujenzi fanya kuongea na mmoja wao muombe akutafutie vijana pale msikitini kwao uone watakavyogombania hicho kibarua, alafu waambie mimi sijataka kuwapa hii kazi hawa vijana wa mtaani... naogopa watakuwa wahuniwahuni uone watakavyokuwa wanakuheshimu na kukutukuza... watakuwa wanapita na kukusalimia kazi ikiisha.

Wana njaa ile mbaya! 😂🙌🏾
 
Unaongea kwa mihemko hali ya kuwa hakuna ujualo...

Unakunya tu hapo kwa sababu umekaa kwa amani na utulivu huku kuna wanaume wanateseka kwa ajili ya wajinga wa design yako. Niishie hapo

HUNA UNACHOJUA. KWENYE 10% WEWE UNA 0.02%

#Nawasilisha
We ndio hujui kitu kabisa, Jihad John alipita hapa Tanzania mara mbili mlimkamata au mlimjua? Mama Samia kasema madini ya Tanzanite yalitoroshwa kupitia chini ya ukuta kwani hao TISS hawakuwepo? Vipi Makinikia kutoroshwa TISS Haikujua?

Mtu latest bunduki kwenye Tik Tok mmekaa kimya kaua Polisi ndio mnajifanya kujustify huo utumbo!! Mna akili kweli nyie?
 
Na siku ukiwa na kibarua hapo kwako labda cha ujenzi huenda unataka kuvunja ukuta ili upanue nyumba au kuna shughuli yoyote ya ujenzi fanya kuongea na mmoja wao muombe akutafutie vijana pale msikitini kwao uone watakavyogombania hicho kibarua, alafu waambie mimi sijataka kuwapa hii kazi hawa vijana wa mtaani... naogopa watakuwa wahuniwahuni uone watakavyokuwa wanakuheshimu na kukutukuza... watakuwa wanapita na kukusalimia kazi ikiisha.

Wana njaa ile mbaya! 😂🙌🏾
Sinaga shobo nao niwe mkweli, hata mazoea sitaki maana ni wabaguzi na wanajionaga watoto wa malaika,, kwahiyo tunaishi tu lakini kila mmoja anakuwa na tahadhari sasa siwezi kuwapa kazi yangu yoyote
 
We ndio hujui kitu kabisa, Jihad John alipita hapa Tanzania mara mbili mlimkamata au mlimjua? Mama Samia kasema madini ya Tanzanite yalitoroshwa kupitia chini ya ukuta kwani hao TISS hawakuwepo? Vipi Makinikia kutoroshwa TISS Haikujua?

Mtu latest bunduki kwenye Tik Tok mmekaa kimya kaua Polisi ndio mnajifanya kujustify huo utumbo!! Mna akili kweli nyie?
ni nani alikwambia hawakujua na hawajui?!

Usiingilie usiyoyajua... kila kitu kina utaratibu wake/protokali zake (etiquette/protocol)

Niishie hapa... tunabishana tukiwa kwenye wigo tofauti za ujuaji wa mambo na fikra. Unadhani unajua zaidi na kuwaona wajinga ambao wewe unadhani ndo walitakiwa kuchukua hatua lakini kaa ukijua hufahamu lolote... 😊
 
ni nani alikwambia hawakujua na hawajui?!

Usiingilie usiyoyajua... kila kitu kina utaratibu wake/protokali zake (etiquette/protocol)

Niishie hapa... tunabishana tukiwa kwenye wigo tofauti za ujuaji wa mambo na fikra. Unadhani unajua zaidi na kuwaona wajinga ambao wewe unadhani ndo walitakiwa kuchukua hatua lakini kaa ukijua hufahamu lolote... 😊
Nani hajui wewe haya mambo nimeshaongelea sana humu jf labda kama ndio unanisoma Leo;





 
Nani hajui wewe haya mambo nimeshaongelea sana humu jf labda kama ndio unanisoma Leo;





Hakuna kitabu kinatokaga duniani chenye siri sahihi za hayo mambo... hakuna kitu kinatoka kuhusu wao kikapitishwa bila wao kujua. Amka we kilaza... mnapelekwa chaka! Kutoa siri za hayo mambo ni kosa la uhaini

Ndo mana nikakwambia huna ujualo... mnapoteza muda kwenda sijui kumsoma EVANCE CHAHALI... kama aliyokuwa ameandika ni sahihi tayari angekuwa kashakufa muda tu na hicho kitabu kisingetoka. Siri za hayo mambo hazijulikani NISIKILIZE MIMI!

Ukitaka kuyajua yaliomo humo sharti uwe mmoja wao. UKO NA UJUAJI MWINGI SANA! SITAKUJIBU WALA KUENDELEZA MJADALA NA WEWE. KAA UKIJUA HAYO MAMBO SIO RAHISI KAMA UNAVYOJUA WEWE. HAYO MAVITABU MNANUNUA MNAPELEKWA CHAKA TU MASKINI.
 
Hakuna kitabu kinatokaga duniani chenye siri sahihi za hayo mambo... hakuna kitu kinatoka kuhusu wao kikapitishwa bila wao kujua. Amka we kilaza... mnapelekwa chaka! Kutoa siri za hayo mambo ni kosa la uhaini

Ndo mana nikakwambia huna ujualo... mnapoteza muda kwenda sijui kumsoma EVANCE CHAHALI... kama aliyokuwa ameandika ni sahihi tayari angekuwa kashakufa muda tu na hicho kitabu kisingetoka. Siri za hayo mambo hazijulikani NISIKILIZE MIMI!

Ukitaka kuyajua yaliomo humo sharti uwe mmoja wao. UKO NA UJUAJI MWINGI SANA! SITAKUJIBU WALA KUENDELEZA MJADALA NA WEWE. KAA UKIJUA HAYO MAMBO SIO RAHISI KAMA UNAVYOJUA WEWE. HAYO MAVITABU MNANUNUA MNAPELEKWA CHAKA TU MASKINI.
Wewe ndio kilaza, marekani Kuna sheria inaruhusu classified information kuwa declassified baada ya miaka fulani. Ndio maana mafile mfano uongo kuhusu silaha za maangamizi Iraq, ushiriki wa CIA kwenye siasa na mapinduzi latin America, mafile juu ya US kudukua simu za washirika wa NATO n.k hayo yote yamefichuliwa kupitia hiyo sheria ya right to information.... Mambo ya Siri ni huku kwenu ila kwa mabeberu mambo Yako wazi ndio maana hta Rais wa US kadakwa na mafile ya CIA, Waziri mkuu UK kapigwa fine kisa seat belt n k
 
Back
Top Bottom