Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania watoa tahadhari ya uwepo wa tishio la shambulio la kigaidi

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania watoa tahadhari ya uwepo wa tishio la shambulio la kigaidi

Sasa kama tayari wanajua kutatokea shambulio la kigaidi, kwa nini wasiwakamate hao magaidi kabla ya kushambulia, au wao ndio wapangaji wa shambulio hilo?. Hao magaidi itakuwa wanawajua ni wa kutoka wapi na sababu za kushambulia
Ndo hapo sasa [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pale Mlimani City panatakiwa paongezwe ulinzi zaidi, yale magari yanayoingia pale kama kuna magaidi ndani ya dakika chache wanapateka, ila uzuri wa pale exits nyingi sana
Hapo mlimani na lugalo si pua na mdomo?
 
Nakumbuka alert kama hizi kule Kenya, halafu wakashambulia supermarket ile maarufu, na chuo kikuu kimoja...
Kipindi kile cha Magu arert kama hii ikitolewa mlikuwa mnasema sababu ya udikteta wa Magu!
 
Ubalozi wa Marekani unasema tuwe makini na mashambulio ya kigaidi, hayo makundi ya kigaidi yanaweza kushambulia kwa kutoa onyo dogo au wasitoe kabisa, wanadai kuna dalili Dsm au maeneo mengine ya Tanzania yakashambuliwa na magaidi, maeneo hayo yanayoweza kushambuliwa ni kama hoteli, balozi, migahawa na masoko.
Mbona umeacha 'misikiti'
 
Kuna wengine wamenikuta nimekaa sehemu, wakanifata na kulazimisha ongea nami kuwa wametumwa na Allah waje wanipe habari, Bungu, Wilaya ya Kibiti...
Hii yako ndo utolee taarifa sasa maana nachojua hawa hawana huduma za kilokole kukufata mpk nyumbani kutoa mahubiri, tena sehemu yenyewe kibiti,, umenitisha
 
Hii yako ndo utolee taarifa sasa maana nachojua hawa hawana huduma za kilokole kukufata mpk nyumbani kutoa mahubiri, tena sehemu yenyewe kibiti,, umenitisha
Kweli

Na msikiti uko Bungu sokoni, karibu na Kituo cha Polisi.

Hawa jamaa wanafata watu wasio wakazi wa Bungu, wakikukuta wanajifanya wanataka kukufundisha dini ya Haki, mwisho wanasema jichagulie jina, twende msikitini ukasilimu.

Nikawaangalia weee, nikaona hawa ni kuwabadilishia gia fasta kweli ikafanga kazi.

Ukitembea kwenda Ruaruke huko kuna misitu mingi watoto wanapotelea huko
 
Kweli

Na msikiti uko Bungu sokoni, karibu na Kituo cha Polisi.

Hawa jamaa wanafata watu wasio wakazi wa Bungu, wakikukuta wanajifanya wanataka kukufundisha dini ya Haki, mwisho wanasema jichagulie jina, twende msikitini ukasilimu...
Hizi habari sio za kupuuza, wahusika wachukue tahadhari,
 
Kwa hili tunatakiwa kuwa makini mno kwa kila mmoja na nafasi yake hasa watu wanao husika na usalama maeneo mengi.This is very serious..lakini nina hakika Mungu atatuvusha salama.
 
NNchi nyingi hutumia Windows au Linux
China wao chini ya 863 Program with main goal to be independent of foreign technology walifanikiwa kudevelop KYLIN OS yao na inarandana na international standards za unix and linux OS.
 
Sio roho mbaya, nawakumbusha tu pale km kuna mtu anataka kuhujumu basi atahujimu kirahisi na atafanikiwa sana
Jidanganye mzee,Kuna TISS wengi sana wametapakaa,huko posta ndo usiseme
 
Kuna wengine wamenikuta nimekaa sehemu, wakanifata na kulazimisha ongea nami kuwa wametumwa na Allah waje wanipe habari, Bungu, Wilaya ya Kibiti.
Niliwaangalia weee, eti twende msikitini, nikawachora sana, nikaanza counter ya biblia hadi wakasema ngoja tutafute wengine.

Bungu bado hali sio sawa maana watoto wanapotea wakirudishwa wanakuwa ndo wapeleka chakula
Tabligh hao,huwa wanalazimisha uende msikitini hata Kama huna udhu
 
Back
Top Bottom