FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 874
- 1,080
Ndo hapo sasa [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa kama tayari wanajua kutatokea shambulio la kigaidi, kwa nini wasiwakamate hao magaidi kabla ya kushambulia, au wao ndio wapangaji wa shambulio hilo?. Hao magaidi itakuwa wanawajua ni wa kutoka wapi na sababu za kushambulia