Ubalozi wa Marekani nchini wasikitishwa na Uminyaji demokrasia na ukamataji wa Viongozi wa Upinzani nchini

Itategemea mmeamkaje siku hiyo.
JK Nyerere alisema, kila mtu anataka awe na hakika ya Kesho yake, haiwezekani mtu akashauriwa na mkewe huko halafu...., Tueshimu sheria, tuache demokrasia isitawi, pia tueshimiane na kuvumiliana, mwisho tusioneane na kudhalilishana, tukitekeleza hayo amani na umoja utaimarika zaidi na kudumu!
 
Inabidi tuwaige mambo yanapokwenda mrama kwao wakipiga risasi Raia na sisi tunatoaa ka tamko wakileta nyoko tunahesabiana matamko
Watu wao wakipewa haki ya kuandamana dhidi ya baya lolote, na sisi tutawapa haki ya watu kuandamana hapa kwetu dhidi ya maovu?

Vyama vyao vikipewa haki ya kufanya siasa bila bugdha, na sisi tutafanya hivyo hivyo kwa vyama vyetu vya siasa?

Wao wakiwa hawahangaiki na viongozi wa kisiasa, hawawatengenezei kesi fake, hawawafungi, hawawanyanyasi, wala hawawashambulii au kuwapoteza wanaomkosoa Rais wao, na sisi tutafanya hivyo hivyo?

Wao wakifanya uchunguzi juu ya wanaopotezwa, nasi tutafanya hivyo hivyo kuhusiana na kupotea kwa akina Ben Saanane, Gwanda, na wengineo?

Tusiwe wapumbavu, tuna mengi ya kijinga, we live in primitivity, tushukuru pale kunapotokea watu wanaotukumbusha kuhusu umuhimu wa maisha ya ustaraabu na utu.

Kuishi kwenye ufungwa wa mawazo, kunapumbuza akili. Angalia mataifa kama China, pamoja na uwingi wa watu kuzidi Taifa lolote, hakuna wanachogundua zaidi ya kuiga. Wataalam wa Sayansi ya ugunduzi wanatuambia huwezi kuwa mgunduzi kama akili yako imefungwa kwenye utumwa wa akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Super wise words mkuu,ni kama vile Nyerere aliona yajayo yatakavyokua.
 
Hayo ni maoni yao kwa sababu wana uwakilishi wa kibalozi hapa, na wamekuwa ni wadau wakubwa wa maendeleo, wanapotoa tathmini yao tusiwabeze na kuwaita mabeberu wakati misaada yao tunapokea..
 
Hadi Leo hujui anayezalisha wakimbizi duniani hasa Afrika?
 
Hadi Leo hujui anayezalisha wakimbizi duniani hasa Afrika?
Watawala wa kiafrica sababu hatuwezi jiongoza kutokuheshimu tu katiba zetu ndipo upelekea machafuko ambayo uzalishaji wakimbizi.
 
Kama watu wana uhuru but they cannot breathe in their own country what does it mean?
 
Correct
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…