Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaimu balozi na Balozi hawapo ili tamko la kichochezi limetolewa na nani?
kwahiyo ofisi imefungwa?Kaimu balozi na Balozi hawapo ili tamko la kichochezi limetolewa na nani ?
Baada ya matamko, kuna kitachofuata hapo baadae.Bado tu hawajaacha tabia ya matamko ya kijinga jinga kila siku, wanahangaika sana na hii nchi waseme tu ukweli nini wanachokitaka na si kutufanya wajinga eti wanauchungu na Tanzania.
Na kuanguka kisha kuzingizia amepigwa na watu wasiojulikana.ITATEGEMEA AMEAMKAJE SIKU HIO.
ITATEGEMEA AMEAMKAJENa kuanguka kisha kuzingizia amepigwa na watu wasiojulikana
Wapambane na iran kwanza hao makuwaidi wa ubeberu
Tanzania tuna marafiki wazuri km China na Russia hao USA hatuna muda nao
Kwa mawazo kama haya alafu ndio huwa mnajisifia kuwa mna akili kubwa kila siku humu.Baada ya matamko, kuna kitachofuata hapo baadae.