Ubalozi wa Marekani nchini wasikitishwa na Uminyaji demokrasia na ukamataji wa Viongozi wa Upinzani nchini

Ubalozi wa Marekani nchini wasikitishwa na Uminyaji demokrasia na ukamataji wa Viongozi wa Upinzani nchini

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
98140DD6-60FB-41EA-91EA-058D9DC25BED.jpeg
 
Bado tu hawajaacha tabia ya matamko ya kijinga jinga kila siku, wanahangaika sana na hii nchi waseme tu ukweli nini wanachokitaka na si kutufanya wajinga eti wanauchungu na Tanzania.
 
Wapambane na iran kwanza hao makuwaidi wa ubeberu

Tanzania tuna marafiki wazuri km China na Russia hao USA hatuna muda nao

Ni lzm wasikitishwe sababu wanao uzoefu wa hayo.Maana wao ndio uingia gharama kubwa za kuhudumia wakimbizi na sio sisi Kama waafrika.Nchi za kiafrica ziwezacho ni kuzalisha wakimbizi duniani na sio kuhudumia wakimbizi.
Pia sisi ni global village ni sehemu ya dunia.
Jumuia za kimataifa zipewe meno za kuwaeliminate watawala wote duniani wenye viashiria vya uvunjifu wa amani sababu ya malezi mabovu utotoni,hii itaeupusha jumuiya za kimataifa kuingia gharama kubwa za kusawazisha Mambo pakichafuka.
 
Back
Top Bottom