Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Katika tamko lao Ubalozi wa Marekani umesema umesikitishwa na hatua za hivi karibuni za Serikali ya Tanzania za kuminya demokrasia
Uminyaji wa demokrasia wametaja kuhusu kukamatwa kwa viongozi wa vyama vya upinzani wakiwa katika mikutano ya ndani. Wahanga wa ukamatwaji ni viongozi 8 wa ACT-Wazalendo japo hawajawataja kwenye tamko lao
Pia ubalozi umesikitishwa na tukio la kuwafutia leseni gazeti la chama siasa cha upinzani. Wamesema hatua hizi ni mwendelezo wa mlolongo wa matukio ya kusikitisha ya vitisho kwa wanachama wa vyama vya upinzani, asasi za kiraia na vymbo vya habari
Ubalozi wa marekani unafahari kusaidia na kuunga mkono uhuru wa kujieleza na ushiriki jumuishi wa kisiasa kwa namna zote kwa kuwa mambo haya yamejumuishwa na Katiba ya Tanzania na tamko la kimataifa la Haki za Binadamu
Uminyaji wa demokrasia wametaja kuhusu kukamatwa kwa viongozi wa vyama vya upinzani wakiwa katika mikutano ya ndani. Wahanga wa ukamatwaji ni viongozi 8 wa ACT-Wazalendo japo hawajawataja kwenye tamko lao
Pia ubalozi umesikitishwa na tukio la kuwafutia leseni gazeti la chama siasa cha upinzani. Wamesema hatua hizi ni mwendelezo wa mlolongo wa matukio ya kusikitisha ya vitisho kwa wanachama wa vyama vya upinzani, asasi za kiraia na vymbo vya habari
Ubalozi wa marekani unafahari kusaidia na kuunga mkono uhuru wa kujieleza na ushiriki jumuishi wa kisiasa kwa namna zote kwa kuwa mambo haya yamejumuishwa na Katiba ya Tanzania na tamko la kimataifa la Haki za Binadamu