Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Magufuli anaipeleka nchi kwenye muelekeo sahihi, tuzidi kumuunga mkonoUsifikiri hawa ni kama wanamgambo wa chattle. Nduli Magu anakosea mnatakiwa kumwambia ukweli au mnasubiri mpaka yampate ya akina Mobutu?