antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Waache maneno maneno, wachukue hatua kali harakaBado tu hawajaacha tabia ya matamko ya kijinga jinga kila siku, wanahangaika sana na hii nchi waseme tu ukweli nini wanachokitaka na si kutufanya wajinga eti wanauchungu na Tanzania.