kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 773
- 526
Samaki kameza chambo, sasa akiivuta tuu ndoano inakita kunako matamvua.
Unforgetable
Ujue ccm ni makenge sana,jamaa anayesema hicho ni kipeperushi anataka mpaka damu imtoke masikioni!Wacha bwana
Na kuhusu WB, kwa nini tunang'ang'ania wakati tunawaita mabeberu, huku tukisema hizo taasisi zinatumika kutuumiza?
Kama tunavuka malengo ya makusanyo na tunafika trl 1 kila mwezi tangu awamu hii iingie madarakani huku tunabana matumizi, madaraja wafanyakazi hatupandishi, rushwa imedhibitiwa SASA kwanini tudhalilike tung'ang'anie mkopo wa trl 1? Hadi Bunge linalalamika sisi kukosa trl 1
Tunasema tunahela, matajiri lakini tunalilia trl 1 kwa ajili ya Elimu? Vipaumbele tuliweka nini? Ndege au Elimu?
mnaojiita Wazalendo inaingia akilini kweli?
Jamaa keshatapeli.
Kwani kuna ubaya gani?Naona umetoka kwenu madongo poromoka kusiko na network sasa umeingia mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Natangaza kumuunga mkono mtu yeyote atakayekuwa tayari kuitoa ccm madarakani!Natangaza kuunga mkono mtu yeyote anayeweza kusaidia kurejesha demokrasia nchini Tanzania bila kujali rangi yake wala utaifa wake
Natafisiri msemo wa wahenga "Lisemwalo mbali litendwalo mbali"Na kuhusu WB, kwa nini tunang'ang'ania wakati tunawaita mabeberu, huku tukisema hizo taasisi zinatumika kutuumiza?
Kama tunavuka malengo ya makusanyo na tunafika trl 1 kila mwezi tangu awamu hii iingie madarakani huku tunabana matumizi, madaraja wafanyakazi hatupandishi, rushwa imedhibitiwa SASA kwanini tudhalilike tung'ang'anie mkopo wa trl 1? Hadi Bunge linalalamika sisi kukosa trl 1
Tunasema tunahela, matajiri lakini tunalilia trl 1 kwa ajili ya Elimu? Vipaumbele tuliweka nini? Ndege au Elimu?
mnaojiita Wazalendo inaingia akilini kweli?
mnaolewa sisi na Lumumba wenzakoBeem,
Unaelewa maan ya WB au unajibwatia tu?
Hii ndio sababu mhimu sana pawepo na tume huru ya uchaguzi; na nina hakika hata yeye Magufuli angefurahi sana kuupata ushindi wa aina hii usiokuwa na mawaa yoyote.
Lakini pamoja na kuwa na uhakika huo, hata wewe bado unahalalisha yasiyostahiri kama hapa chini
Hata kama ingekuwa kweli kwamba Trump aliiba kura 'kielectronic', hakuna raia wake waliopigwa marungu/mabomu ya machozi; na kutishiwa uhai hadi wengine kuogopa kwenda kupiga kura!
Kazi kubwa? Gaddafi alifanya kazi kubwa Libya kiasi cha wapenda bure kama wewe kunenepeana.Ebu mkiwa na vichwa vyenu, muwe mnafikiri kabla ya kujazwa upepo upepo tu mtapasuka bure.. US yenyewe tume yao ni huru? Trump mwenyewe kaiba kura kielectroniki, so mambo ya kuwa mnatiana moyo kwa vitu vya kufikirika tu acheni. Kwa kazi kubwa ya kutukuka aliyofanya Mh. Rais Magufuli, hata umlete nani 2020 Mh. Rais atashinda kwa kura nyingi sana. Mm natabiri 90%+. Ila mambo ya kupewa matumaini sijui na ubalozi wa US, hiyo ni kiini macho, hivi kwanini mna vichwa kama vibuyu, you can't think deep kabisa.
Hayo majibu kayapeleke Ubalozi wa Marekani,lilipotoka tangazoNdio iliyowatangaza wabunge wa chadema walioshinda 2015.
Tamko hili ni kama agizo juu ya kauli aliyotoa Rais Magufuli juu ya uchaguzi mkuu wa 2020.
Hilo suala la Tume huru ya uchaguzi halijaingizwa hapo kwa bahati mbaya bali linaonyesha lina kusudio maalumu.
Haya US wamepiga kulia huku kushoto WB wametwanga kivingine.
Hakika mwaka huu kuna makubwa yaja tena yaja kisayansi kabisa.
View attachment 1341947
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr chuma kalishwa chambo
Kama hili bandiko la kweli
CCM hali inaanza kubadilika
Tumekaribia goligota
Mabeberu wanapiga juu no fly zone kama libya wazalendo wanapiga chini mtaa kwa mtaa kuhakikisha udhalimu unakomaKwahiyo hamuiwezi CCM bila mbeleko ya " msaada wa Marekani"?
Mungu awabariki mabeberu kwa kweli maana bila wao wakoloni weusi watatugeuza mishikaki usiku na mchanaSio uongo hatuiwezi. Maana ukifurukuta hivi risasi, ukijigeuza kesi ya uhujumu, mkutano kidogo hata chumbani uchochezi!
Huku Muruto yuko na mbwa na virungu huku Mambosasa na bunduki hadi anaua wanafunzi kwenye mabasi!
Watu wafanyeje kama sio kumfuata Beberu na kumwambia mbona mbuzi "jike"wako anatumia pembe kujeruhi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wanna huku waliopewa ujumbe huo wakikosa usingizi na ladha ya msosi!Hicho ni kipeperushi tu kama vipeperushi vingine!