Ubalozi wa Marekani: Tumetiwa moyo na hakikisho la Rais Magufuli kwamba uchaguzi mkuu 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye uwazi

Ubalozi wa Marekani: Tumetiwa moyo na hakikisho la Rais Magufuli kwamba uchaguzi mkuu 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye uwazi

Write your reply...mchimba kisima ajichimbia kisima na kutumbukia mwenyewe
 
Hao ni ccm siyo wazalendo!
Na kuhusu WB, kwa nini tunang'ang'ania wakati tunawaita mabeberu, huku tukisema hizo taasisi zinatumika kutuumiza?

Kama tunavuka malengo ya makusanyo na tunafika trl 1 kila mwezi tangu awamu hii iingie madarakani huku tunabana matumizi, madaraja wafanyakazi hatupandishi, rushwa imedhibitiwa SASA kwanini tudhalilike tung'ang'anie mkopo wa trl 1? Hadi Bunge linalalamika sisi kukosa trl 1

Tunasema tunahela, matajiri lakini tunalilia trl 1 kwa ajili ya Elimu? Vipaumbele tuliweka nini? Ndege au Elimu?

mnaojiita Wazalendo inaingia akilini kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kuhusu WB, kwa nini tunang'ang'ania wakati tunawaita mabeberu, huku tukisema hizo taasisi zinatumika kutuumiza?

Kama tunavuka malengo ya makusanyo na tunafika trl 1 kila mwezi tangu awamu hii iingie madarakani huku tunabana matumizi, madaraja wafanyakazi hatupandishi, rushwa imedhibitiwa SASA kwanini tudhalilike tung'ang'anie mkopo wa trl 1? Hadi Bunge linalalamika sisi kukosa trl 1

Tunasema tunahela, matajiri lakini tunalilia trl 1 kwa ajili ya Elimu? Vipaumbele tuliweka nini? Ndege au Elimu?

mnaojiita Wazalendo inaingia akilini kweli?
Natafisiri msemo wa wahenga "Lisemwalo mbali litendwalo mbali"
 
Hii ndio sababu mhimu sana pawepo na tume huru ya uchaguzi; na nina hakika hata yeye Magufuli angefurahi sana kuupata ushindi wa aina hii usiokuwa na mawaa yoyote.

Lakini pamoja na kuwa na uhakika huo, hata wewe bado unahalalisha yasiyostahiri kama hapa chini

Hata kama ingekuwa kweli kwamba Trump aliiba kura 'kielectronic', hakuna raia wake waliopigwa marungu/mabomu ya machozi; na kutishiwa uhai hadi wengine kuogopa kwenda kupiga kura!

Rungu linatumika tu pale unapokataa kutii sheria bila shuruti.. Na utapigwa tu
 
Ebu mkiwa na vichwa vyenu, muwe mnafikiri kabla ya kujazwa upepo upepo tu mtapasuka bure.. US yenyewe tume yao ni huru? Trump mwenyewe kaiba kura kielectroniki, so mambo ya kuwa mnatiana moyo kwa vitu vya kufikirika tu acheni. Kwa kazi kubwa ya kutukuka aliyofanya Mh. Rais Magufuli, hata umlete nani 2020 Mh. Rais atashinda kwa kura nyingi sana. Mm natabiri 90%+. Ila mambo ya kupewa matumaini sijui na ubalozi wa US, hiyo ni kiini macho, hivi kwanini mna vichwa kama vibuyu, you can't think deep kabisa.
Kazi kubwa? Gaddafi alifanya kazi kubwa Libya kiasi cha wapenda bure kama wewe kunenepeana.
Lakini alipominya demokrasia na Uhuru wa watu wa Libya alikutwa mtaroni na vijiti wamemchomeka makalioni. Tuheshimu Uhuru wa watu kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii barua ni mtego kwa malumumba yakiingia kichwakichwa yameliwa kichwa
Tamko hili ni kama agizo juu ya kauli aliyotoa Rais Magufuli juu ya uchaguzi mkuu wa 2020.

Hilo suala la Tume huru ya uchaguzi halijaingizwa hapo kwa bahati mbaya bali linaonyesha lina kusudio maalumu.

Haya US wamepiga kulia huku kushoto WB wametwanga kivingine.

Hakika mwaka huu kuna makubwa yaja tena yaja kisayansi kabisa.

View attachment 1341947

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio uongo hatuiwezi. Maana ukifurukuta hivi risasi, ukijigeuza kesi ya uhujumu, mkutano kidogo hata chumbani uchochezi!
Huku Muruto yuko na mbwa na virungu huku Mambosasa na bunduki hadi anaua wanafunzi kwenye mabasi!
Watu wafanyeje kama sio kumfuata Beberu na kumwambia mbona mbuzi "jike"wako anatumia pembe kujeruhi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu awabariki mabeberu kwa kweli maana bila wao wakoloni weusi watatugeuza mishikaki usiku na mchana
 
Hicho ni kipeperushi tu kama vipeperushi vingine!
Wewe wanna huku waliopewa ujumbe huo wakikosa usingizi na ladha ya msosi!
Unauthibitisha unafiki mlio nao kwa viongozi wenu kujifanya mnawapigania, manawasifu na kuwapamba huku nyuma mkiwaambia "mtajibu" kimoyomoyo! Hivi, yakiwafika ya kuwafika utakuwa tayari kuwa sehemu ya maumivu na mateso atakayopitia kipindi hicho? Punguzeni unafiki!
 
Back
Top Bottom