Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Mbona kuna Mtz mwingine alikufa akipigana upande wa Ukraine? Helicopter 🚁 yao ilitunguliwaVp angekuwa anapgania upande wa Ukraine wangeuliza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kuna Mtz mwingine alikufa akipigana upande wa Ukraine? Helicopter 🚁 yao ilitunguliwaVp angekuwa anapgania upande wa Ukraine wangeuliza?
..naunga mkono hoja.
..kuna kijana wa Kitanzania ni askari ktk jeshi la Marekani lakini hakuna mtu amelalamika.
Kaka ubalozi umehoji hao weusi huko Russia wanalazimishwa au matakwa yao? Kuna habari kuwa wafungwa weusi wanashawishiwa kuingia vitani ili vita ikiisha wawe huru..naunga mkono hoja.
..kuna kijana wa Kitanzania ni askari ktk jeshi la Marekani lakini hakuna mtu amelalamika.
Kuna tofauti ya kuwa mwanajeshi wa kudumu kwa hiyari katika jeshi la nchi na kulazimishwa kuwa mwanajeshi mamluki wakati wa vita.
sawaF16 Falcon ni ndege ya jeshi la Marekani iliyotengenezwa na kampuni ya General Dynamics.
Kaka ubalozi umehoji hao weusi huko Russia wanalazimishwa au matakwa yao? Kuna habari kuwa wafungwa weusi wanashawishiwa kuingia vitani ili vita ikiisha wawe huru
Waliotunguliwa na ndege ya Ukraine mwanzoni mwa operation alikuwamo mtz mbona hawkuhoji. Waache unafiki mashoga haoUbalozi wa Marekani kupitia taarifa waliyoweka kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, Wamehoji juu ya utata wa kifo cha kijana wa raia wa Tqnzania aliyefariki akipigana vita Urusi.
Ubalozi huo umehoji pia kama Urusi inawalazimisha wafungwa wenye asili ya Afrika kupigana vita yake na Ukraine.
View attachment 2488873
Sasa kama wanajeshi wa urusi wamemalizwa na Ukraine Urusi ijitetee vipi?Ubalozi wa Marekani kupitia taarifa waliyoweka kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, Wamehoji juu ya utata wa kifo cha kijana wa raia wa Tqnzania aliyefariki akipigana vita Urusi.
Ubalozi huo umehoji pia kama Urusi inawalazimisha wafungwa wenye asili ya Afrika kupigana vita yake na Ukraine.
View attachment 2488873
Huyu ni JokaKuu the legend ninayemjua mimi ndiye ume comment hii?..naunga mkono hoja.
..kuna kijana wa Kitanzania ni askari ktk jeshi la Marekani lakini hakuna mtu amelalamika.
Nadhan hapa kuna pointikama Urusi inawalazimisha wafungwa wenye asili ya Afrika kupigana vita yake na Ukraine
Sasa haya ndio yanahitaji maelezo toka serikali ya Urusi, kwangu Mmarekani yupo sahihi...hata hapa Tz wafungwa wanapigwa na kufanyishwa kazi ngumu.
..pia hatujui kama bwana Nemes alijiunga na jeshi kwa hiyari au kwa kulazimishwa.
..pia hatujui role yake ktk vita ilikuwa ni combat au non-combat.
Kuna tofauti, kama unamuongelea nnae mfahamu yule jamaa ni Marine na alienda huko kusomea hadi kupata hio kazi...naunga mkono hoja.
..kuna kijana wa Kitanzania ni askari ktk jeshi la Marekani lakini hakuna mtu amelalamika.
You are not serious...naunga mkono hoja.
..kuna kijana wa Kitanzania ni askari ktk jeshi la Marekani lakini hakuna mtu amelalamika.