Ubalozi wa Marekani wahoji utata wa kifo cha kijana wa Ki-Tanzania nchini Urusi

Ubalozi wa Marekani wahoji utata wa kifo cha kijana wa Ki-Tanzania nchini Urusi

Wao wakapambane na hali zao, pamoja na masilaha yoote wanayorundika Ukraine na vikwazo lukuki lakini bado Putin ngangali.

Naona Olaf Shoz kasema Ujerumani haipeleki Vifaru vyake aina ya Leopard 2 mpaka na Marekani apeleke Abrahams-1..

Ahahahah yaani Poland imesema Ujeruman ikikataa wao watapeleka vifaru vyao viwili bila kusubili Ruhusa ya Ujeruman ambaye ndiye mtengenezaji na muuzaji wa silaha hii nzito katika uwanja wa medani.

Marekani imesema Ujeruman haina shukrani, yaani wao(wamarekani) wamepeleka kila aina ya silaha Ukraine ambazo zimeifanya Ujeruman iwe huru kukaa na vifaru vyake, sasa Leo hii hawaoni hilo?

Leo Mji wa Soleder ushatekwa na kijiji kimoja kimeangukia mikononi mwa majeshi ya Urus huku wakiusogelea Mji wa Bakhmut wenye kila aina ya utajiri wa madini!

Ikumbukwe kuwa mataifa 50 yanaisaidia Silaha Ukraine kupambana na Urus, huku leo mawaziri wa Ulinzi wa NATO wakikutana pale Ramstein kambi ya jeshi la anga la Marekani nchini Ujeruman kuona vipi waisaidie Ukraine haraka sana kabla ya Putin hajaanzisha tena vita mpya ya ardhini kutokea magharibi yaani kupitia mpaka wa Belarus majira ya kuchipua.
 
Wagner wanapita lwenye magereza wanawaambia wafungwa,"Chagueni kuendelea kufungwa au kujiunga na Wagner. YOU HAVE FIVE MINUTES TO DECIDE."
Sema wale wanapambana hatari sana, na wanatumiwa na tajiri yule rafiki yake na Putin muiba madini ahahahah
 
Ubalozi wa Urusi nchini Tanzania
Hapo huko ubalozi swali pekee ni tutawaambia nini watanzania watuelewe kwamba huyu jamaa aliingia mkataba na Wagner kwa hiari yake mwenyewe hakulazimishwa kuingia vitani?
 
Wao wakapambane na hali zao, pamoja na masilaha yoote wanayorundika Ukraine na vikwazo lukuki lakini bado Putin ngangali.

Naona Olaf Shoz kasema Ujerumani haipeleki Vifaru vyake aina ya Leopard 2 mpaka na Marekani apeleke Abrahams-1..

Ahahahah yaani Poland imesema Ujeruman ikikataa wao watapeleka vifaru vyao viwili bila kusubili Ruhusa ya Ujeruman ambaye ndiye mtengenezaji na muuzaji wa silaha hii nzito katika uwanja wa medani.

Marekani imesema Ujeruman haina shukrani, yaani wao(wamarekani) wamepeleka kila aina ya silaha Ukraine ambazo zimeifanya Ujeruman iwe huru kukaa na vifaru vyake, sasa Leo hii hawaoni hilo?

Leo Mji wa Soleder ushatekwa na kijiji kimoja kimeangukia mikononi mwa majeshi ya Urus huku wakiusogelea Mji wa Bakhmut wenye kila aina ya utajiri wa madini!

Ikumbukwe kuwa mataifa 50 yanaisaidia Silaha Ukraine kupambana na Urus, huku leo mawaziri wa Ulinzi wa NATO wakikutana pale Ramstein kambi ya jeshi la anga la Marekani nchini Ujeruman kuona vipi waisaidie Ukraine haraka sana kabla ya Putin hajaanzisha tena vita mpya ya ardhini kutokea magharibi yaani kupitia mpaka wa Belarus majira ya kuchipua.
Nmependa unavyosimulia endelea mkuu, km naangalia movie
 
Wagner wanapita lwenye magereza wanawaambia wafungwa,"Chagueni kuendelea kufungwa au kujiunga na Wagner. YOU HAVE FIVE MINUTES TO DECIDE."
Inategemea na Jela yenyewe ipoje, km jela km zile jela za Ufaransa utazani upo hotel fulani ya kitalii nakomaa na gereza nimalize kifungo yaan upo jela na bado unalipwa Euro's na ukitoka unapewa Euro's zako unapandishwa ndege unarudishwa kwenu Ila km jela zipo km yale magereza ya Lushoto, dakika 5 nyingi mzee lete karatasi watu wasaini 8M sio ndogo
 
..naunga mkono hoja.

..kuna kijana wa Kitanzania ni askari ktk jeshi la Marekani lakini hakuna mtu amelalamika.
Wao watakwambia kuwa kuna tofauti kubwa, kati ya huyo aliyejiunga kwa hiari, na huyu (kama ni kweli), anayelazimika kujiunga kwa sababu ya hali yake ya ufungwa.

Nashawishika kukubaliana nao kwa upande huo.
 
Mtu hawezi kukushangaa kama utamsaidia anayeonewa. Lakini unaonekana wa ajabu sawa na anayedhulumu, unapomsaidia anayedhulumu.
"Anayeonewa"?

Hadi sasa unaamini kuna anayeonewa katika swala hilo?
 
Wao watakwambia kuwa kuna tofauti kubwa, kati ya huyo aliyejiunga kwa hiari, na huyu (kama ni kweli), anayelazimika kujiunga kwa sababu ya hali yake ya ufungwa.

Nashawishika kukubaliana nao kwa upande huo.

..mwenye WAJIBU wa kutafuta ukweli kama marehemu alijiunga kwa hiyari au kulazimishwa ni SERIKALI ya Tanzania.

..tatizo ni kwamba serikali yetu haitetei wala kusaidia raia wa Tanzania wanapokuwa ughaibuni.
 
Wagner wanapita lwenye magereza wanawaambia wafungwa,"Chagueni kuendelea kufungwa au kujiunga na Wagner. YOU HAVE FIVE MINUTES TO DECIDE."
Hii taarifa uliipata wapi?

Una uhakika nayo, au na wewe umesikia tu ikisambazwa na ukaidaka?
 
..naunga mkono hoja.

..kuna kijana wa Kitanzania ni askari ktk jeshi la Marekani lakini hakuna mtu amelalamika.
Mkuu Wagner siyo jeshi la Urusi. Wale ni mercenaries. Halafu kijana alikuwa kafungwa jela na alikuwa mwanafunzi huko Urusi. Hakuna hoja ya kuunga hapo mzee wangu.
 
...kuna kijana wa Kitanzania ni askari ktk jeshi la Marekani lakini hakuna mtu amelalamika.
Kuna mambo mawili hapa tusichanganye watu;

Huyo wako kafariki dunia, yupo vitani au je alilazimishwa kuwa askali?.
 
Kuna mambo mawili hapa tusichanganye watu;

Huyo wako kafariki dunia, yupo vitani au je alilazimishwa kuwa askali?.

..nakuelewa.

..BALOZI wetu aliyeko Urusi / Moscow anatakiwa atupatie hayo majibu.

..Je, balozi au serikali itatekeleza wajibu wake?
 
Mkuu Wagner siyo jeshi la Urusi. Wale ni mercenaries. Halafu kijana alikuwa kafungwa jela na alikuwa mwanafunzi huko Urusi. Hakuna hoja ya kuunga hapo mzee wangu.

..kama ni hivyo SERIKALI ya Tanzania inatakiwa ichukue hatua.
 
Back
Top Bottom