Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Ulitaka dreva na koda wake wafe usiwaone au unapowaona ndicho kipimo cha kujua corona haipo!!? Si ajabu na wewe ulifika japo O levelHii corona ya ubalozi wa marekani isipotibiwa itakuwa tatizo,Mimi kila Mara nasafiri kwenye daladala ,na kati ya watu waliokatika risk ya kupata maambukizi ni makondakta na madereva wa daladala na mabasi ,chakushangaza ukipanda gari mwezi huu na mwezi ujao utakutana na dereva na kondakta yuleyule,hii inamaanisha kuwa korona haipo
Sasa hawa wamarekani wwnaolazimisha uwepo wa korona wanatutaka nini,serikali iwamulike hawa fedhuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka ufe wewe badala yake nchi inawatu milion 60 akifa mmoja nayo ni habari ya kujadili acheni hizo jamani . Toka asubuhi mpaka sasa hizzi usiku bodaboda zimeuwa wangapi na hamshangai mnakomalia vitu vya kijinga tu kisa wazungu wamepururuka wache wafe waliyataka wenyewe wakiamini wanatukomoa.Mmiliki wa Marangu Coach huyo kavuta jana usiku,mkewe bado yupo kwenye Ventilator hapo hapo Aghakan.View attachment 1466768
Safari hii kidogo naona ameandika kidiplomasia zaidi.juzi walivyo m-summon muwakililishi wa Mababeru nilisema hapa lazima Beberu aje tena na bandiko jipya tena kwa lugha ya kibeberu ili ujumbe ufike kwenye makao makuu ya mabeberu kirahisi [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Wamekuja tena na tuhuma. Muwaite tena.
Wanawatuhumu kuficha takwimu tangia April 29 mwaka huu. Hawawezi kutoa hatima ya raia wake kwa kuwa hamueleweki.
View attachment 1466746
Hitima tulishafanya nashangaa wanaikumbuka tenacovid ishaisha na party tukafanya
Wewe ni Daktari au mwanafamilia?
Serikali imeshindwa kudhibiti so kila mtu apambane kivyake. Wenye uwezo ndio hao wanafia Aghakan. Wenzangu na mm tuchukue tahadhari huku tukimuomba Mungu atuepushe na hili jangaTaarifa za Covid-19 zinafichwa au kuzimwa kwa watu kulazimishwa kujitibia home kwa KUPIGA NYUNGU na KUFUKIZA....!! Nyungu na Fukiza zikigoma ujue unaondoka.....kumbuka yule mama Wakili aliyeacha ujumbe wa....."HEWA HAITOSHI" HIVO ALISHINDWA KUJIPIGANIA mwenyewe kupambana na Covid-19 kwa nyungu...!!!!
Data hizi umetoa wapi?
China walifanya lockdown.
Tanzania??!!
Huna hata aibu kwa kuzusha uwongo ?
Watalamu walishasema COVID itaendelea kuwepo na tutaishi nayo kama surua, HIV/AIDs, chicken pox, malaria na magonjwa mengine.Pia mawaziri Mkuchika, Hussein Mwinyi na mke wa kigogo mmoja wanapambana na hali zao hukoo. Pia wanasahau kuwa Rwanda juzi imeripoti kifo cha kwanza cha COVID 19 na jamaa alikimbia kutoka Tanzania baada ya kukosa huduma hospitalini.
Umeisha ambiwa death zinakuwa caused by underlining issues lakini wewe naona hutaki kuelewaKama hujui kitu kwa undani si uombe uambiwe? Yule kalazwa pale wiki 3 na ishu kubwa ilikuwa Corona. Pia familia yake yote iliugua na mkewe kalazwa.
Wewe ni daktari wa pale? Kama ndiyo huna hata sifa ya kuitwa mganga wa kienyeji.Pale Aghakan leo pametoa maiti moja ya mtu mashuhuri ya COVID 19. Nyie endeleeni kudanganyana.
Ndo uhamie huko Sasa, unasubiri nini ndg Mtakatifu?? Usiupe moyo shida na mikazo ya ajabu, acha kulalamika haimia huko huko kwenye utulivu,kusikokuwa na Corona.Nchi yako ina matatizo milioni kadhaa kuliko ya kwao.
Kwahiyo wewe ndie unayemtibu???Mmiliki wa Marangu Coach huyo kavuta jana usiku,mkewe bado yupo kwenye Ventilator hapo hapo Aghakan.View attachment 1466768
Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha Covid 19, aliyekuambia uweke ujinga wako kwa kutoa privacy za mtu ni nani? Hivi hata kama hukuenda shule unakosa kutumia hata akili za smartphone unayotumia???Kama hujui kitu kwa undani si uombe uambiwe? Yule kalazwa pale wiki 3 na ishu kubwa ilikuwa Corona. Pia familia yake yote iliugua na mkewe kalazwa.
Mungu wabariki mabeberuMtawafanya nini Wamarekani nyinyi Ccm!! Wakiamua hata kesho wana warestisha wote inpisi! Hao ndiyo Wababe wa dunia! Hivyo kuweni tu wapole. Mbona zile Bilioni zao za misaada huwa mnazipokea kwa mikono miwili huku mkiwa mmekenua mbele ya makamera!!
Nyinyi mtaishia tu kuwaonea Chadema na Waandishi wa Habari kama akina Eric Kabendera na Pascal Mayalla.
Wamekuja tena na tuhuma. Muwaite tena.
Wanawatuhumu kuficha takwimu tangia April 29 mwaka huu. Hawawezi kutoa hatima ya raia wake kwa kuwa hamueleweki.
View attachment 1466746
Baada ya kuitwa kwa Kaimu Balozi wa USA, ulikuwa unategemea nini ???Wamekuja tena na tuhuma. Muwaite tena.
Wanawatuhumu kuficha takwimu tangia April 29 mwaka huu. Hawawezi kutoa hatima ya raia wake kwa kuwa hamueleweki.
View attachment 1466746