Ubalozi wa Marekani wamkumbuka Mwl. Nyerere. Wasema "maendeleo ni watu sio vitu"

Ubalozi wa Marekani wamkumbuka Mwl. Nyerere. Wasema "maendeleo ni watu sio vitu"

Ubalozi wa Marekani umeungana na Watanzania wote katika kumkumbuka ya kumuenzi Baba wa Taifa.

Kwenye statement waliyoitoa hivi leo tarehe 14/10/2020 ubalozi huo umesisitiza kuwa Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

Ubalozi huo umeyasisitiza hayo kwa kuweka nukuu ifuatayo:
View attachment 1599440View attachment 1599441

Mungu mbariki Mwalimu Nyerere,Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki USA
Nyerere alikuwa mjamaa ila alikuwa haogopi kupambana na hao mabeberu kwa hoja.

Ndio maana wanamheshimu mpaka leo.
 
Sitaandika mengi Leo,
Watanzania tujifunze kutoka Libya na pia tusisahau kufuatilia historia ya utajiri wa U.S.

Ila yangu ni haya,
Tusimsikilize U. S kwa lolote kwani U. S hajawai kuwa mtu mwema.
Huwa ni mtu wa ku take advantage nyakati za vita na nyakati za uchaguzi. Rejea vita ya kwanza ya dunia, vita ya pili ya dunia na vita za wenyewe kwa wenyewe katika nchi mbalimbali.

lakini pia msisahau kurejea hotuba zao kile kipindi cha mwanzo wakati China anapambana na corona huku wao wakichekelea kwamba uchumi wao utaoenda kupanda kwa kasi. Na wakawaahidi China watatengeneza dawa.

Hizi ndio dili za hawa jamaa kuuza silaha wakati sisi tumekorofishana huku wao wanachukua mali zetu.
Rejea Libya tuache ushabiki wa kuwashabikia angalia kizazi chako cha mbele.

Lazima tutumie mbinu zetu wenyewe kutoka nchi zilizo jipatia maendeleo kwa njia halali. Maendeleo yaliyopatikana kwa watu kufanya kazi kwa bidii.

Zipo nchi nyingi.
Na swala la maendeleo ni vitu ni muhimu sana kwani tunahitaji miundombinu imara ili watu wawe na maendeleo.

Ni hayo tu
 
Kwani hivyo vitu vya kimaendeleo vinajengwa kwaajili ya ndege na wanyama au!??

Kama Unajenga vituo vya Afya kwa wingi, unaboresha mahospitali, Unajenga miundombinu ya barabara reli na anga, Unajenga shule, kujenga na kuboresha mifumo ya usambazaji umeme na vngne kedekede,,,, Je hivi vitu vyote si vinagusa maisha ya wananchi kwa namna moja au nyingne na kuleta unafuu mkubwa ktk maisha yetu.

Hawa hawa Wamarekani kupitia USaid si wana TANGAZO lao lina trend kwenye media kuhusu kampeni ya mwanamke apatapo ujauzito awahi clinic,,,, sasa kama hakuna uboreshaji wa vituo vya Afya maeneo mbalimbali nchini hao wanawake wakahudhuria clinic za New York au!????

Nawasihi Watanzania wenzangu, Mungu katupa akili na ufahamu,,, tusitetereke

Mungu ibariki Tz
Ndugu hakuna haja ya kuhangaika na hawa chadema wanaohangaika kukata roho. Ina maana wao sera yao ni ipi? In short hakuna maendeleo ya watu bila vitu labda kama kuna vitu wanavyovilenga wao watuambie waziwazi ni vitu gani ambavyo ambavyo havileti maendeleo vinavyofanywa na serilai ya awamu ya tano. Wanaitumia kauli ya mwalimu Nyerere kisiasa tena kwa kuipotosha zaidi. Hivi niulize swali moja tu, Ni vitu gani ambavyo serikali ya awamu ya tano chini ya Jemedali Magufuli inavifanya ambavyo havikufanyika wakati wa serikali ya awamu ya kwanza chini ya mwalimu Nyerere?

Je Nyerere hakujenga mabawa ya umeme tena kwa fedha za mkopo, hakujenga reli (TAZARA) tena kwa mkopo wenye riba nafuu/usiokuwa nba riba, Hakujenga vivuko na madaraja, hakujenga shule za msingi, sekondari na vyuo, hakujenga viwanda, hakujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali, hakununua ndege 11 kwa ajili ya shirika la AirTanzania, hakujenga barabara hata kama ni za changarawe (kulingana na uchiumi wetu wakati huo, hakutengeneza na kukarabati meli kwenye maziwa na bahari ya nchi yetu, Hakuwekeza kwenye kuboresha bandari zetu n.k n.k n.k? CHADEMA NI CHAMA KILICHOKOSA SERA NA ITIKADI INAYOELEWEKA WAMEBAKI KUONGEA PUMBA TU. TUNATAKA CHADEMA WATUAMBIE WAO WAKIINGIA MADARAKANI WATAFANYA NINI NA WALA SI KULAUMU BILA KUTUAMBIA NJIA MBADALA.

Kimsingi Raisi Magufuli ndiye anayemuenzi kimatendo mwalimu Nyerere kwa kufanya yale yote ambayo mwalimu aliamini kwamba ndio chachu ya maendeleo ya watanzania.
 
Kwani hivyo vitu vya kimaendeleo vinajengwa kwaajili ya ndege na wanyama au!??

Kama Unajenga vituo vya Afya kwa wingi, unaboresha mahospitali, Unajenga miundombinu ya barabara reli na anga, Unajenga shule, kujenga na kuboresha mifumo ya usambazaji umeme na vngne kedekede,,,, Je hivi vitu vyote si vinagusa maisha ya wananchi kwa namna moja au nyingne na kuleta unafuu mkubwa ktk maisha yetu.

Hawa hawa Wamarekani kupitia USaid si wana TANGAZO lao lina trend kwenye media kuhusu kampeni ya mwanamke apatapo ujauzito awahi clinic,,,, sasa kama hakuna uboreshaji wa vituo vya Afya maeneo mbalimbali nchini hao wanawake wakahudhuria clinic za New York au!????

Nawasihi Watanzania wenzangu, Mungu katupa akili na ufahamu,,, tusitetereke

Mungu ibariki Tz
 
Ubalozi wa Marekani umeungana na Watanzania wote katika kumkumbuka ya kumuenzi Baba wa Taifa.

Kwenye statement waliyoitoa hivi leo tarehe 14/10/2020 ubalozi huo umesisitiza kuwa Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

Ubalozi huo umeyasisitiza hayo kwa kuweka nukuu ifuatayo:
View attachment 1599440View attachment 1599441

Mungu mbariki Mwalimu Nyerere,Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki USA

Kama ni watu mbona wao kila siku wana lalamikiwa na wananchi wao bajeti ya jeshi kuwa kubwa na mavifaa ya kivita.watu kome
 
Kwani hivyo vitu vya kimaendeleo vinajengwa kwaajili ya ndege na wanyama au!??

Kama Unajenga vituo vya Afya kwa wingi, unaboresha mahospitali, Unajenga miundombinu ya barabara reli na anga, Unajenga shule, kujenga na kuboresha mifumo ya usambazaji umeme na vngne kedekede,,,, Je hivi vitu vyote si vinagusa maisha ya wananchi kwa namna moja au nyingne na kuleta unafuu mkubwa ktk maisha yetu.

Hawa hawa Wamarekani kupitia USaid si wana TANGAZO lao lina trend kwenye media kuhusu kampeni ya mwanamke apatapo ujauzito awahi clinic,,,, sasa kama hakuna uboreshaji wa vituo vya Afya maeneo mbalimbali nchini hao wanawake wakahudhuria clinic za New York au!????

Nawasihi Watanzania wenzangu, Mungu katupa akili na ufahamu,,, tusitetereke

Mungu ibariki Tz
Kwa hiyo ni sawa baba kununua gari nyumbani huku watoto wakishinda na njaa kisa tu hilo gari watoto hao watapanda??

Maendeleo ya vitu ni mazuri mno kama tu yatafanyika without expenses za maendeleo ya watu.

Yaani ndege zinunuliwe huku ajira za kutosha zitangazwe na vijana wapate kipato.

Yaani reli ya SGR ijengwe huku sekta ya kilimo iwezeshwe kwa ufanisi na wakulima watafutiwe masoko yatakayowafaa na kuwaiingizia kipato.

Shule zijengwe huku wanafunzi wote wapate mikopo kwa wanaohitaji pasipo kuwabagua waliosoma shule binafsi.

Bwawa la Nyerere lijengwe lakini watumishi waongezwe mishahara ili kuendana na hali halisi ya maisha ya sasa.

Nadhani utapata picha kidogo hapa
 
Kwani hivyo vitu vya kimaendeleo vinajengwa kwaajili ya ndege na wanyama au!??

Kama Unajenga vituo vya Afya kwa wingi, unaboresha mahospitali, Unajenga miundombinu ya barabara reli na anga, Unajenga shule, kujenga na kuboresha mifumo ya usambazaji umeme na vngne kedekede,,,, Je hivi vitu vyote si vinagusa maisha ya wananchi kwa namna moja au nyingne na kuleta unafuu mkubwa ktk maisha yetu.

Hawa hawa Wamarekani kupitia USaid si wana TANGAZO lao lina trend kwenye media kuhusu kampeni ya mwanamke apatapo ujauzito awahi clinic,,,, sasa kama hakuna uboreshaji wa vituo vya Afya maeneo mbalimbali nchini hao wanawake wakahudhuria clinic za New York au!????

Nawasihi Watanzania wenzangu, Mungu katupa akili na ufahamu,,, tusitetereke

Mungu ibariki Tz
Vizuri. Kujenga kituo cha afya, kukipatia madaktari, na kukipatia dawa za wagonjwa ni maendeleo ya watu. Kununua ndege nyingi sana, kujenga flyover wakati hakuna dawa mahospitalini na kipato kimeshuka ni maendeleo ya vitu tu bila watu.
 
Sitaandika mengi Leo,
Watanzania tujifunze kutoka Libya na pia tusisahau kufuatilia historia ya utajiri wa U.S.

Ila yangu ni haya,
Tusimsikilize U. S kwa lolote kwani U. S hajawai kuwa mtu mwema.
Huwa ni mtu wa ku take advantage nyakati za vita na nyakati za uchaguzi. Rejea vita ya kwanza ya dunia, vita ya pili ya dunia na vita za wenyewe kwa wenyewe katika nchi mbalimbali.

lakini pia msisahau kurejea hotuba zao kile kipindi cha mwanzo wakati China anapambana na corona huku wao wakichekelea kwamba uchumi wao utaoenda kupanda kwa kasi. Na wakawaahidi China watatengeneza dawa.

Hizi ndio dili za hawa jamaa kuuza silaha wakati sisi tumekorofishana huku wao wanachukua mali zetu.
Rejea Libya tuache ushabiki wa kuwashabikia angalia kizazi chako cha mbele.

Lazima tutumie mbinu zetu wenyewe kutoka nchi zilizo jipatia maendeleo kwa njia halali. Maendeleo yaliyopatikana kwa watu kufanya kazi kwa bidii.

Zipo nchi nyingi.
Na swala la maendeleo ni vitu ni muhimu sana kwani tunahitaji miundombinu imara ili watu wawe na maendeleo.

Ni hayo tu
Mkuu sasa misaada yao kama USD 300 Million walizozitoa mbona hamzikatai?

Mwanamke anayekukataa hadharani huku akila pesa yako sirini,huyu tunamuitaje lakini?

Kama nyie ni wanaume kataeni misaada yao ili taifa huru mnalolitaka lipatikane!
 
Tena kule kumejaa wanawake wengi weupe weupe, tatizo lao ni wao kuongea lugha ya malkia tu.
 
Ubalozi wa Marekani umeungana na Watanzania wote katika kumkumbuka ya kumuenzi Baba wa Taifa.

Kwenye statement waliyoitoa hivi leo tarehe 14/10/2020 ubalozi huo umesisitiza kuwa Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

Ubalozi huo umeyasisitiza hayo kwa kuweka nukuu ifuatayo:

“Maendeleo ni watu, si vitu” – Julius Nyerere

Link:
View attachment 1599451View attachment 1599452

Ukweli wa kauli ya Nyerere ni huu sio tafsiri mnazo taka nyinyi

 
Kwa hiyo ni sawa baba kununua gari nyumbani huku watoto wakishinda na njaa kisa tu hilo gari watoto hao watapanda??

Maendeleo ya vitu ni mazuri mno kama tu yatafanyika without expenses za maendeleo ya watu.

Yaani ndege zinunuliwe huku ajira za kutosha zitangazwe na vijana wapate kipato.

Yaani reli ya SGR ijengwe huku sekta ya kilimo iwezeshwe kwa ufanisi na wakulima watafutiwe masoko yatakayowafaa na kuwaiingizia kipato.

Shule zijengwe huku wanafunzi wote wapate mikopo kwa wanaohitaji pasipo kuwabagua waliosoma shule binafsi.

Bwawa la Nyerere lijengwe lakini watumishi waongezwe mishahara ili kuendana na hali halisi ya maisha ya sasa.

Nadhani utapata picha kidogo hapa
 
Ubalozi wa Marekani umeungana na Watanzania wote katika kumkumbuka ya kumuenzi Baba wa Taifa.

Kwenye statement waliyoitoa hivi leo tarehe 14/10/2020 ubalozi huo umesisitiza kuwa Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

Ubalozi huo umeyasisitiza hayo kwa kuweka nukuu ifuatayo:

“Maendeleo ni watu, si vitu” – Julius Nyerere

Link:
View attachment 1599451View attachment 1599452

 
Back
Top Bottom