Ubalozi wa Marekani wamkumbuka Mwl. Nyerere. Wasema "maendeleo ni watu sio vitu"

Ubalozi wa Marekani wamkumbuka Mwl. Nyerere. Wasema "maendeleo ni watu sio vitu"

Sera mbovu maendeleo yatoke wapi hata uwe unakesha ukifanya Kazi.Sera zetu mbovu ndo zimeleta umasikini.Wametawala afrika miaka michache kuliko miaka ambayo mwafrika amejitawala lkn walileta maendeleo makubwa Sana afrika elimu, afya Bora, ajira tele, kilimo bora, viwanda, miundombinu
Maendeleo gani makubwa walioyaleta wazungu kwa wafrika hasa wakati wa ukoloni? Yataje tafadhali!
 
Si mkalime
Mvua imenyesha mfurulizo kwa miaka mitano na bado unulia njia.acha uvivu.kalime,kafuge.nk.ukitaka JPM akulishe kama makinda?
Kilimo kingekuwa kinalipa Boda boda na machinga wasingejazana mijini ndugu
 
The first key point ni kwamba maendeleo yawe people centred in the context kwamba barabara n.k yaweze ku endeleza maendeleo vya watu iwe flyover, interchange, hospital, dispensary, shule n.k.
Yaani yamuwezeshe mtu kufanya biashara vizuri zaidi, kusafiri vizuri zaidi, huduma ya afya iwe bora zaidi ili aweze ukizalishe zaidi na kuishi Maisha marefu zaidi, elimu imsaidie kufanya shughuli za kimaisha na kiuchumi kwa ufanisi zaidi n.k n.k
Ukitoka hapo ndio unaenda kwenye uhuru wa watu, ambao tunao na la mwisho ndio kazungumzia demokrasia iwe ya chama kimoja sawa iwe Vyama vingi sawa?
Na aka pose kwa kusema kwamba Zaire au DRC one Vyama 140 , sasa hajui kama ndio demokrasia au sio ni juu yako kufanya hiyo analysis
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.

FUNZO: Ukiwa mnufaika (beneficiary) wa mfumo wowote ule usitumie vibaya hiyo privilege kuwatukana/gandamiza/dharau/piga/onea wengine, Hakuna hali inayodumu milele.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwa vile leo ni siku ya maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Nyerere Day, tuiadhimishe kwa kuwapongeze viongozi wetu wote wanao muenzi Nyerere kwa kumuishi kwa maneno na matendo, Rais Magufuli ni mmoja wao. Miradi ya Umeme wa Stigler Gorge na kuhamia Dodoma ni kutimiza ndoto za Nyerere.

Ili kumuenzi Mwalimu Nyerere kiukweli ukweli, nina kaswali kadogo, kitendo cha Rais Magufuli cha kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, kwa vile Nyerere alitawala Tanzania kwa kipindi cha miaka 23, na Magufuli anafana na Nyerere, jee unaonaje pia katika kutawala, ili Magufuli azidi zaidi kufanana na Nyerere, mnaonaje tukimpa Magufuli muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10?.

Ili kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa dhati, naomba kutumia fursa hii, kuwahimiza wale wote wanaomkubali Nyerere, tarehe 28 October, Watanzania tusifanye makosa, ni asubuhi na mapema, kuwahi katika kituo cha kupigia kura, kumchagua Nyerere wa pili, na ukifika, kazi ni moja tuu,
unachukua...,
unaweka...
malizia...
Happy Nyerere Day.
Paskali
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.

FUNZO: Ukiwa mnufaika (beneficiary) wa mfumo wowote ule usitumie vibaya hiyo privilege kuwatukana/gandamiza/dharau/piga/onea wengine, Hakuna hali inayodumu milele.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
All they want is a puppet leader who is easy for them to manipulate for their own benefit! MY FELLOW PATRIOTIC TANZANIANS PLEASE STAND FIRM FOR YOUR COUNTRY FOR THE BENEFIT OF YOURSELVES AND YOUR CHILDREN. VOTE FOR JOHN POMBE MAGUFULI - A PATRIOTIC LEADER!
I fully agree with you...Tanzania is for Tanzanians there is no way we will let these imperialists to take our natural resources because of some puppets who are power mongers.


Let us vote for Magufuli the truelly son of Africa on October 28th and say no to the greedy people.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.

FUNZO: Ukiwa mnufaika (beneficiary) wa mfumo wowote ule usitumie vibaya hiyo privilege kuwatukana/gandamiza/dharau/piga/onea wengine, Hakuna hali inayodumu milele.


Sent using Jamii Forums mobile app
Unaijua Abraham Maslow theory of motivation ?? So don't take it that Mimi nina furahia mtu anapoonewa, lakini katika ku address maendeleo ya mtu utaanza na vitu vitakavyo muwezesha ku build up his/her personal development , na hiyo democracy ni ya mwisho ndio unaweza kusema ndio self actualization.
Sasa mtu akiwa haelewi hii , hawezi kuelewa tunataka wapi tunakwenda wapi.
Na hata hao waanzilishi au wanaopigia chapuo democracy iliyofikia self actualization walianza wapi ?? Uingereza au ma Land Lord ilikuwa ni barbarism, huko kwao ndio kuja colonisation, slavery etc etc , USA the same , sasa a
 
Unaijua Abraham Maslow theory of motivation ?? So don't take it that Mimi nina furahia mtu anapoonewa, lakini katika ku address maendeleo ya mtu utaanza na vitu vitakavyo muwezesha ku build up his/her personal development , na hiyo democracy ni ya mwisho ndio unaweza kusema ndio self actualization.
Sasa mtu akiwa haelewi hii , hawezi kuelewa tunataka wapi tunakwenda wapi.
Na hata hao waanzilishi au wanaopigia chapuo democracy iliyofikia self actualization walianza wapi ?? Uingereza au ma Land Lord ilikuwa ni barbarism, huko kwao ndio kuja colonisation, slavery etc etc , USA the same , sasa a
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Abraham Maslow na Gwajima wapi na wapi, wewe inaonekana ulikuwa copycat special maana inaonekana ulikuwa una copy hata jina la mtu unaye mcopy
 
Abraham Maslow na Gwajima wapi na wapi, wewe inaonekana ulikuwa copycat special maana inaonekana ulikuwa una copy hata jina la mtu unaye mcopy
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maendeleo gani makubwa walioyaleta wazungu kwa wafrika hasa wakati wa ukoloni? Yataje tafadhali!
Mkoloni aliwajengea reli (dar to mnz, kgm mpanda)shule (old moshi, St Mary (Tbr B), Iyunga, St Francis - Pugu , Alliance Dodoma, n.k) bandari (kigoma, Mwanza, Kemondo, Dsm, Mtwara) barabara Dsm to Moro,. Ar to Moshi etc. Kipi ambacho mkoloni hakufanya?
 
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ana pepo baya sana huyu mtu. Akaoge na maji ya bahari
 
Ubalozi wa Marekani umeungana na Watanzania wote katika kumkumbuka ya kumuenzi Baba wa Taifa.

Kwenye statement waliyoitoa hivi leo tarehe 14/10/2020 ubalozi huo umesisitiza kuwa Kwa karibu miaka 60 Mwalimu alituelezea imani yake kuwa maendeleo endelevu yanamaanisha kuwekeza katika watu.

Ubalozi huo umeyasisitiza hayo kwa kuweka nukuu ifuatayo:

View attachment 1599440View attachment 1599441

Mungu mbariki Mwalimu Nyerere,Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki USA

PIA SOMA
= > Oktoba 14: Kumbukumbu ya Kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Imetimia miaka 21 tangu imempoteza Tanzania kifo cha Baba wa Taifa

Hivi chama mboga mboga wanamuenzi Nyerere huyu huyu anayeenziwa na wengine?

Pana hatari kuwa hawa wenzetu wana wao tofauti na huyu ambaye wengine wanamwongelea kila uchao.
 
Maendeleo gani makubwa walioyaleta wazungu kwa wafrika hasa wakati wa ukoloni? Yataje tafadhali!
South tu hapo mzungu kajenga mijinga ya ANC kama CCM inaharibu kila kitu. Sijui mliwaambukiza ujinga ANC maana huwa mnasema ni jamaa zenu
 
Unaijua Abraham Maslow theory of motivation ?? So don't take it that Mimi nina furahia mtu anapoonewa, lakini katika ku address maendeleo ya mtu utaanza na vitu vitakavyo muwezesha ku build up his/her personal development , na hiyo democracy ni ya mwisho ndio unaweza kusema ndio self actualization.
Sasa mtu akiwa haelewi hii , hawezi kuelewa tunataka wapi tunakwenda wapi.
Na hata hao waanzilishi au wanaopigia chapuo democracy iliyofikia self actualization walianza wapi ?? Uingereza au ma Land Lord ilikuwa ni barbarism, huko kwao ndio kuja colonisation, slavery etc etc , USA the same , sasa a
Unamaanisha Maslow yule Beberu? Umetumwa wewe siyo bure
 
Waache unafiki. Wao wamejjijenga vizuri kwa hayohayo mavitu mpka Leo wanaendelea kujijenga. Kutwa wanawapa changamoto China ili isiendelee ikawazidi. Leo hii wako bize eti ' maendeleo ni watu ’ wasiwadanganye viongozi wetu wakawa mabwege kama ilivyo tegemeo lao ili lengo walilonalo litimie.
 
Kwa hiyo ni sawa baba kununua gari nyumbani huku watoto wakishinda na njaa kisa tu hilo gari watoto hao watapanda??

Maendeleo ya vitu ni mazuri mno kama tu yatafanyika without expenses za maendeleo ya watu.

Yaani ndege zinunuliwe huku ajira za kutosha zitangazwe na vijana wapate kipato.

Yaani reli ya SGR ijengwe huku sekta ya kilimo iwezeshwe kwa ufanisi na wakulima watafutiwe masoko yatakayowafaa na kuwaiingizia kipato.

Shule zijengwe huku wanafunzi wote wapate mikopo kwa wanaohitaji pasipo kuwabagua waliosoma shule binafsi.

Bwawa la Nyerere lijengwe lakini watumishi waongezwe mishahara ili kuendana na hali halisi ya maisha ya sasa.

Nadhani utapata picha kidogo hapa
Hujui matokeo ya SGR katika uchumi wa Tanzania, huwezi kutambua matokeo ya Bwawa la Umeme Julius nyerere? Kama huwezi kutambua hayo inakubidi urudi shule ukajifunze upya.
 
Back
Top Bottom