Ubalozi wa Marekani wamkumbuka Mwl. Nyerere. Wasema "maendeleo ni watu sio vitu"

Hujui matokeo ya SGR katika uchumi wa Tanzania, huwezi kutambua matokeo ya Bwawa la Umeme Julius nyerere? Kama huwezi kutambua hayo inakubidi urudi shule ukajifunze upya.
Soma kwa akili wewe kijana! Kwani nimezuia SGR isijengwe au?

Nimesema ijengwe lakini sio kwa watu wateseke! Jenga huku unaajiri watu na kuwaongezea mishahara yao!
 
Kibaya sijamsikia Mkuu wa nchi akitamka neno haki tangu aanze kampeni zake.
 
Hujui matokeo ya SGR katika uchumi wa Tanzania, huwezi kutambua matokeo ya Bwawa la Umeme Julius nyerere? Kama huwezi kutambua hayo inakubidi urudi shule ukajifunze upya.
Wewe na Raisi wako ndio mnatakiwa mrudi shule tena, ili kujua kuwa ilipaswa kujenga daraja pale Jangwani kuliko Salender

Haya utapendezesha mji kwa muonekano wa daraja lililokatisha bahari, lakini mvua ikinyesha siku moja tu watu wanalala vituo vya mwendokasi na wengine kukosa makazi kabisa, lakini na wengine kushindwa kurudi Nyumbani au kufika makazini kwa wakati

Raisi gani anapenda vitu kuliko utu ... basi penda vitu vyenye manufaa kwa umma lakini alivyo kilaza anapenda vitu kwa ajili ya urembo
 
Baba wa Taifa anasema maendeleo yasiwe yametokana na kunyonya watu - upo hapo?
Sasa basi kwetu tumeambiwa mishahara haiongezwi mpaka miradi mikubwa ya kimkakati itakapomalizika. Huko si kuwanyonya watu?
 
Baba wa Taifa anasema maendeleo yasiwe yametokana na kunyonya watu - upo hapo?
Sasa basi kwetu tumeambiwa mishahara haiongezwi mpaka miradi mikubwa ya kimkakati itakapomalizika. Huko si kuwanyonya watu?
Soma tena nilichoandika,kisha soma tena ulichoandika,alafu niambie kama kuna utofauti!
 
Uongo .Idadi ya watu marekani sensa ya 2017 walikuwa 326,971,407 wakati mamilionea walikuwa milioni 11 kwa mwaka huo ukitoa hapo utapata watu milioni 321,971,407 hawako kundi la mamilionea
Niice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…