mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kabla hawajatoa kauli serikali ilishatoa kauli yake. Au hukuisikia🙄Kwa kauli zako hapo juu tayari wewe ni mjuaji labda kama hujui maana ya ujuaji. Ubalozi umetoa tahadhari kwa watu wao, wewe kwa ujuaji wako unajifanya kukosoa andiko lisilokuhusu. Wewe endelea na kazi kama unavyojigamba na hutishwi na chochote.
Chukua tahadhari, chapa kazi, Kula vizuri, muombe Mungu 🙏