Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa unavyo idharau corona ujue inakupigia mahesabuWaanze kutupatia matokeo ya chanjo kule Marekani tujue je wale waliopatiwa maambukizi kwao yamekoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa unavyo idharau corona ujue inakupigia mahesabuWaanze kutupatia matokeo ya chanjo kule Marekani tujue je wale waliopatiwa maambukizi kwao yamekoma?
Magonjwa yote ya milipuko duniani hutolewa taarifa, tahadhari na muelekeoHizi takwimu wanazotaka zinawasaidia nini?
Hawa wajapani na wenzao wa EU na USA wangefanya hivyo kule corona ilikoanzia, wakashughulika walau na wale waliohisiwa kuitengeneza, wakatupatia measures walizotumia kupambana na corona zikaonyesha mafanikio kwa nchi zao, wakatuletea watu waliopatiwa chanjo na kuonyesha ni kwa kiasi gani hawawezi tena pata maambukizi tungewaelewa sana![]()
Japan warns against traveling to Tanzania as country denies existence of coronavirus - The Mainichi
TOKYO -- Japan's foreign ministry issued a warning on Feb. 9 to consider suspending or postponing travel to Tanzania due to the rapidly worsening coromainichi.jp
Tahadhari serikali imeshatoa... Tena serikali imeelekeza na dawa za kutumia ili ugonjwa huu usiwe hatari kwako na kwa mwingine.Muhimu ni tahadhari bwashee!
Mataga kama wewe ndiyo mnajifanya wajuaji sanaTuombe Mungu kifo hakina mjuaji
Unaguza mgonjwa wa nini?Naandika nikiwa hospitali nauguza.... kama wewe unaweza kuzuia corona Mungu aendelee kukupigania.
Hakuna anayefurahia magonjwa na vifo, na hakuna anayefurahi au anayeweza kukimbia kifo pia
Wacha iwafagilie mbali maana wamezidi ukahidi kisa teuziSijui unaandika haya ukiwa wapi, inawezekana umejifungia ndani hujui chochote kinachotokea mtaa wa pili, kwa taarifa yako mkiendekeza hizi taarabu Corona itapokuja kupiga hapo sebleni kwako ndio utapata akili, now unaisikia kwa majirani ndio maana unaleta utani, na usiombe iwatembelee ndani kwasababu haiondoki na mmoja.
Wanatuonea wivu kwa kuwa Tanzania hatujafunga uchumi wetuMagonjwa yote ya milipuko duniani hutolewa taarifa, tahadhari na muelekeo
Sijawahi kuidharau corona.Kwa unavyo idharau corona ujue inakupigia mahesabu
Akili zenu hazina tofauti na zile za KibwetereNaandika nikiwa hospitali nauguza.... kama wewe unaweza kuzuia corona Mungu aendelee kukupigania.
Hakuna anayefurahia magonjwa na vifo, na hakuna anayefurahi au anayeweza kukimbia kifo pia
Umeanza kunyooka sasaNi jambo jema!
Mbona wanakimbilia tanzania kujua habari za corona tuu hawaendi nchi jingineKwako wewe unaona ni mbaya?
Yaani mtu kukujali afya yako tena bure bado unaona husuda?
Wewe itakufagilia wapi Mwamba😆😆😆😆 Hebu tafakari ulivyo na maguvu itakuweza kweli!? Na kama itakufikia itakufalilia karibu au mbali kama wengine!?Wacha iwafagilie mbali maana wamezidi ukahidi kisa teuzi
Tuchukue tahadhari, tufanye kazi, tule inavyoshauriwa, na tumwombe Mungu sana🙏Akili zenu hazina tofauti na zile za Kibwetere
Utajuwaje hizo habari za mataifa mengine?Mbona wanakimbilia tanzania kujua habari za corona tuu hawaendi nchi jingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Mataga kwa kuwa mmekuwa wakahidi subirini msombwe na kimbunga nasi waoga tupo tayari kuwaimbiaTuchukue tahadhari, tufanye kazi, tule inavyoshauriwa, na tumwombe Mungu sana[emoji120]
Na tuache kutakiana mabaya sababu hakuna mwenye nguvu ZA kukimbia kifo
Nyie mnachukua tahadhali ya nini wakati mnatuaminisha kuwa hakuna corona?Wewe itakufagilia wapi Mwamba[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Hebu tafakari ulivyo na maguvu itakuweza kweli!? Na kama itakufikia itakufalilia karibu au mbali kama wengine!?
Tuchukue tahadhari, tufanye kazi, tule inavyoshauriwa, na tumwombe Mungu sana[emoji120]
SoHata watoa vitisho pia sio muda watafutika
Duniani sio kwetu
Tuambie hadi sasa umefanya nini kinachowatofautisha hao wakahidi na wewe🙄Mataga kwa kuwa mmekuwa wakahidi subirini msombwe na kimbunga nasi waoga tupo tayari kuwaimbia