#COVID19 Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

#COVID19 Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

Sijawahi kuidharau corona.
Nachukua tahadhari, nafanya kazi, nakula vinavyoshauriwa na namwomba Mungu pamoja na kukuombea wewe mwenye mawazo mabaya juu ya wengine
Nyinyi mnatuambia kuwa hakuna corona,mnawaambia watu wasivae barakoa.

Mungu anawona na ipo siku lazima mtalipa kwa mnayo wafanyia watanzania.
 
Jambo la muhimu katika waraka huu ni "kuzidiwa kwa mifumo ya utoaji huduma".Na hili limeshaanza kuonekana kwani kuna watu wawili ambao nawafahamu ambao walikataliwa hospitali tatu binafsi kwa kigezo "wodi zimejaa"
 
Tuchukue tahadhari, tufanye kazi, tule inavyoshauriwa, na tumwombe Mungu sana[emoji120]
Na tuache kutakiana mabaya sababu hakuna mwenye nguvu ZA kukimbia kifo
Utachukuaje tahadhali wakati mnasema hakuna tishio la corona?
 
Nyinyi mnatuambia kuwa hakuna corona,mnawaambia watu wasivae barakoa.

Mungu anawona na ipo siku lazima mtalipa kwa mnayo wafanyia watanzania.
Nani kakuwmbia hayo? Sikia kauli ya serikali halafu ukumbuke wewe ni mtu wa kwanza kuwajibika kutunza afya yako.



Acha kudeka, wote tunatakiwa tuchukue tahadhari, tufanye kazi, tule inavyoshauriwa, na tumwombe Mungu sana🙏

Timiza wajibu wako na usisahau kwamba Mungu pia hufanya kadri ya mapenzi yake
 
Hivi m America akuonee wivu kwa lipi ?!.
Umasikini
Ujinga
Udictator
Au lipi hasa ?!

Propaganda za ki communist haziwezi kututoa mrisi [emoji107]
Lazima akuonee wivu maana anategemea uendelee kumtegemea ili akikohoa tu uvue chupi
 
Hawa wajapani na wenzao wa EU na USA wangefanya hivyo kule corona ilikoanzia, wakashughulika walau na wale waliohisiwa kuitengeneza, wakatupatia measures walizotumia kupambana na corona zikaonyesha mafanikio kwa nchi zao, wakatuletea watu waliopatiwa chanjo na kuonyesha ni kwa kiasi gani hawawezi tena pata maambukizi tungewaelewa sana

Vinginevyo watakua wanapiga kelele tuu na watasikilizwa na wanaotaka kelele zisizo na suluhu
Watu masikini wa kutupwa mnataka kujilinganisha na wafadhili wenu?
 
Beberu anatafuta loophole ya kuuza chanjo zake magumashi...
 
Time after time 🎶🎵,hakuna kitakachoweza kuasidia zaid ya kujisalimisha kwa mwenye roho zake ,tusali tuchukue tahadhari tunaweza survive tena kama mwaka jana.

Kufa watu ni jambo ambalo lipo karne na karne hii ni kukumbushwa ujiandae,hao manabii sijui maparoko wameshayumba baada ya kutuhimiza kumwomba mungu wanahanya hanyaa na kuingilia kazi ya sirikali mpka serikali inaamua kubeba majukumu yao shtuka siku za mwisho hiz
 
Tuambie hadi sasa umefanya nini kinachowatofautisha hao wakahidi na wewe[emoji849]
Mimi kwakuwa naheshimu maaagizo ya wataalam,navaa barakoa,naheshimu social distance, nanawa mikono, natumia sanitizer pale inapo bidi.

Nyie endeleeni kupuyanga kwa kudanganywa
 
Sasa kama hamuwategemei hayo madeni yalioongezeka awamu hii kuliko awamu yoyote. Yametoka wapi na kwa nani ?!.

U communist unaliangamiza taifa hili . Propaganda za ki jinga kabisa
Hela tunazochukua huko ni asilimia ndogo sana ya utajiri wetu waliochukua.

Kwa lugha nyingine sisi ndio tunawadai
 
Nani kakuwmbia hayo? Sikia kauli ya serikali halafu ukumbuke wewe ni mtu wa kwanza kuwajibika kutunza afya yako.

Acha kudeka, wote tunatakiwa tuchukue tahadhari, tufanye kazi, tule inavyoshauriwa, na tumwombe Mungu sana[emoji120]

Timiza wajibu wako na usisahau kwamba Mungu pia hufanya kadri ya mapenzi yake
Mimi siyo kichaa kama nyinyi
 
Back
Top Bottom