#COVID19 Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

Kwa kauli zako hapo juu tayari wewe ni mjuaji labda kama hujui maana ya ujuaji. Ubalozi umetoa tahadhari kwa watu wao, wewe kwa ujuaji wako unajifanya kukosoa andiko lisilokuhusu. Wewe endelea na kazi kama unavyojigamba na hutishwi na chochote.
Kabla hawajatoa kauli serikali ilishatoa kauli yake. Au hukuisikia🙄
Chukua tahadhari, chapa kazi, Kula vizuri, muombe Mungu 🙏
 
Jishaue tu, unadhani kila kitu kinahitaji propaganda za kisiasa, iko siku mtavuna mnachopanda.
Wewe hujioni unavyojishaulia kwenye ubalozi wa Marekani!? Sijui unahamia lini America😂😂😂

Yaani unajishau hadi unashindwa kufikiri.

Wewe unavyoona suluhu ya corona ni nini?
 
Nenda marekani hakuna korona wameisha ishinda wao huko.

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Huyo atakuwa amechoka kuishi kama shetani sasa anatafuta nafasi awahi kwa muumba
 
Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Ukiambiwa kuwa njaa imekupanda kichwani unarusha ngumi hewani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…