Ubalozi wa Marekani watoa tahadhari kusafiri kwenda Mtwara

Wewe naye ndio wale wale mnaoamini kwamba Mzungu ni Mungu. Marekani hawa hawa wanaoibia a kura ndio watueleze habari za Mtwara! Be serious brother.

Hao Marekani tunapaswa kuwakemea kwamba Intelejensia yao Ijikite Marekani kupambana na MAUAJI YA WATU WEUSI/BLACK LIVES MATTER kuliko kujikita MTWARA ambako hapawausu kabisa.

Mbaya zaidi huwa wakiitabiria Tanzania Upuuuzi utaskia Raia wamechapwa Kwingineeeeee tofauti na Walipotabiri wao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…