Ubalozi wa Ufaransa wafuta matangazo ya Magufuli!

Ubalozi wa Ufaransa wafuta matangazo ya Magufuli!

Halafu wasichokijua mataga watu wakiona hiyo sura ndo wanazid kuwatia uchungu watanzania kumuona mtu ambaye amewatasa miaka mitano, mbaya zaid sura haina mvuto
Usiniambie kwamba Lissu ana sura ya kuvutia
 
.
FB_IMG_15998592496809455.jpg
 
Waswahili walisema kizuri cha jiuza kibaya chajitembeza. Inatumika nguvu kubwa kupita kiasi sijui sababu ni nini!? Media tv, radio, magazeti wamehodhi.
 
Kwa kuwadanganya misukule hamjambo
Nani anaweza bandika Bango ubalozini
Hivi nyie mbona Wapumbavu sana
Yaani kujazana Uongo mnaona wajuaji kumbe wajinga tu!!
Na Vibendera tayari vimefuata upepo
Hahaha mwaka huu Mtakiona
Mbona unahasira kama mwanamke mjamzito?
 
Wamebandika hadi kufunika alama za usalama barabarani
Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.

Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.

Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.

Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.

Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
FB_IMG_15999863593440310.jpeg
FB_IMG_15999863710598195.jpeg
 
hapo kosa ni la mgombea au wabandika mabango na ile kazi wanapewa vijana asiyejua huu ni ubalozi au ni genge la muuza mkaaa
na ubalozi wa ufaransa aupo sensitive kama balozi wa america
 
Nimemkuta kijana mmoja anabandika bango la ccm kwenye ukuta wangu nimemzibua, sasa hivi ndio anapiga simu kwa bosi wake amletee hela ya rangi hapa
Weka picha tuone kama siyo kijifariji
 
Nimepita ubalozini asubuhi mabango yapo karibu na ubalozini sio ubalozini

Chadema wacheni kuweweseka
Wewe Kila mahali upo; post za Iringa, mbeya, mwanza, Arusha kote upo. Ni robot au? You can not make life out lies....rather a becoming toilet paper in near future. Watch out!
 
Back
Top Bottom