DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,591
- 1,719
Mama yako hajaniambia kama ameabot mimba yangu.mwambie nitamfunga.Kwani aliyokuwa nayo ame abort ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yako hajaniambia kama ameabot mimba yangu.mwambie nitamfunga.Kwani aliyokuwa nayo ame abort ?
Stupid assholeMama yako hajaniambia kama ameabot mimba yangu.mwambie nitamfunga.
Ndio mana wanatumia nguvu kubwaHauziki
Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
kwa kweli kama ni mabango , nakubali yamebandikwa aisee mkuu sio dar kuna sehem nilipita mpaka nikacheka , yahani kuna kimsingi katika round about moja wamekishona mabango utafikil kama plaster yani , kwa kweli mabango yamekula mtaji wa pesa ya kutosha , japo sijui bango moja laweza kua sh ngapi,Hauziki
Hizo karatasi za mabango ya ccm zinafaa kutumika na watoto wa shule za msingi kujaradia madaftari yao.Roho inakaribia kuuacha mwili ndo maana wanatapatapa.Alafu unasikia wanajifariji kua ccm inakubalika nchi nzima.Wawabandike hadi wake zao na watoto wao ila ukweli nikwamba wana hofu kuu.
Na go moja kuchapisha ni sh 500kwa kweli kama ni mabango , nakubali yamebandikwa aisee mkuu sio dar kuna sehem nilipita mpaka nikacheka , yahani kuna kimsingi katika round about moja wamekishona mabango utafikil kama plaster yani , kwa kweli mabango yamekula mtaji wa pesa ya kutosha , japo sijui bango moja laweza kua sh ngapi,
Mungu wabariki wazunguKatika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
hatari sana mkuu,Na go moja kuchapisha ni sh 500
Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Hauziki
Nimepita ubalozini asubuhi mabango yapo karibu na ubalozini sio ubalozini
Chadema wacheni kuweweseka
Nimemkuta kijana mmoja anabandika bango la ccm kwenye ukuta wangu nimemzibua, sasa hivi ndio anapiga simu kwa bosi wake amletee hela ya rangi hapa
Wamesema kimoyomoyo TUONDOLEENI UPUUZI WA JIWE HAPA
Utakufa na stress! Hii nayo yakuanzisha thread kweli??
Mtateseka sana mliozoea kula ngadaHalafu wasichokijua mataga watu wakiona hiyo sura ndo wanazid kuwatia uchungu watanzania kumuona mtu ambaye amewatasa miaka mitano, mbaya zaid sura haina mvuto
Chema chajiuza kibaya chajitembeza simple like that.Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Kuta na uzio wa balozi za nje hairuhusiwi kuweka mabango aina hiyo kwa sababu ile ni teritorial place.Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
ama kweli limbwata siyo tu kwa wanawake bali hata kwa wanachama wa chadema kiongozi wao kawalisha limbwata wanachama wake. hawaoni kabisaHalafu wasichokijua mataga watu wakiona hiyo sura ndo wanazid kuwatia uchungu watanzania kumuona mtu ambaye amewatasa miaka mitano, mbaya zaid sura haina mvuto
hata lisu wen u hatumtaki ni mtumwa wa wazunguHatumtaki magufuli ni muuaji,ana sura mbaya na roho mbaya.
Sasa vijana wa lumumba mnaujua ubalozi nyie?maana hata wakubwa zenu wengi tu hawaujuiKwa kuwadanganya misukule hamjambo
Nani anaweza bandika Bango ubalozini
Hivi nyie mbona Wapumbavu sana
Yaani kujazana Uongo mnaona wajuaji kumbe wajinga tu!!
Na Vibendera tayari vimefuata upepo
Hahaha mwaka huu Mtakiona
Unamtukana baba yako nitakutia laana.nyie watoto wa nje ya ndoa tabu sanaStupid asshole