Ubalozi wa Ufaransa wafuta matangazo ya Magufuli!

Ubalozi wa Ufaransa wafuta matangazo ya Magufuli!

Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.

Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.

Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.

Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.

Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
ccm na wapambe wao watupu sana kichwani
Balozi ni nchi ndani ya nchi hazifungamani na upande wowote kisiasa
Wanageuza kila kitu ni mali yao
Lakini kama Mzee kijana slowslow ndiye mshawishi wa hili sishangai
 
Nimemkuta kijana mmoja anabandika bango la ccm kwenye ukuta wangu nimemzibua, sasa hivi ndio anapiga simu kwa bosi wake amletee hela ya rangi hapa
Ha ha ha.. ila uwe makini. Wanaweza kukuteka au kukubambikizia kesi isiyo na dhamana
 
Jana hapa kwangu usiku wamepita wahuni fulani wa CCM wakabandika matangazo na mapicha ya mgombea uraisi wao Jiwe na mbunge wao Ummy.

Nimeamka nikayabandua na kutia kiberiti hawawezi nichafulia ukuta wangu wa nymba niliyoijenga kwa dhiki kubwa huku posho na mshahara wangu wameukalia kwa mabavu.
Vipi rangi ya ukuta haikubanduka?
 
uwongo wao wa mwisho nj kusema wameibiwa kura...

pale watakapopata 8%

viva magu
Kwa kuwadanganya misukule hamjambo
Nani anaweza bandika Bango ubalozini
Hivi nyie mbona Wapumbavu sana
Yaani kujazana Uongo mnaona wajuaji kumbe wajinga tu!!
Na Vibendera tayari vimefuata upepo
Hahaha mwaka huu Mtakiona
 
Kwa kuwadanganya misukule hamjambo
Nani anaweza bandika Bango ubalozini
Hivi nyie mbona Wapumbavu sana
Yaani kujazana Uongo mnaona wajuaji kumbe wajinga tu!!
Na Vibendera tayari vimefuata upepo
Hahaha mwaka huu Mtakiona

Ningekuwa nasema uongo, uzi huu ungekuwa umeshafutwa zamani.

Tatizo lenu mnatumia nguvu nyingi wakati akili hamna.
 
Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.

Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.

Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.

Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.

Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Ukitaka na wewe nenda kabsndike lako haya ukuta wa ikulu Chamwino, hizi zimejengwa kwa hela ya walalahoi.
 
Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.

Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.

Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.

Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.

Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Hao nao wanapiga kura wapi!!! we unajua kwanini wametoa wamezoea kuombwa msaada kusaidia uchaguzi this time kimya wakafie mbele
 
Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.

Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.

Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.

Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.

Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Kidiplomasia kabisa

Hutakiwi kuweka hayo mabango kabisa
 
Halafu wasichokijua mataga watu wakiona hiyo sura ndo wanazid kuwatia uchungu watanzania kumuona mtu ambaye amewatasa miaka mitano, mbaya zaid sura haina mvuto
Ila mataga wamelichagua jiji la Dsm kwa mapicha picha ya Magufuli hadi yanakera.
 
Back
Top Bottom