Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingemzibua ungemwelekeza tu, kwamba atoe bango lake wakafanye kampeni zao kama wanavyodai kisayansi inatosha
ccm na wapambe wao watupu sana kichwaniKatika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Mkuu huna picha Kama hizi ili uhalalishe hoja yako !Anayeuzika ni huyu View attachment 1568686[emoji3][emoji3][emoji3]
Ha ha ha.. ila uwe makini. Wanaweza kukuteka au kukubambikizia kesi isiyo na dhamanaNimemkuta kijana mmoja anabandika bango la ccm kwenye ukuta wangu nimemzibua, sasa hivi ndio anapiga simu kwa bosi wake amletee hela ya rangi hapa
Kumbe pandemic.Nimemkuta kijana mmoja anabandika bango la ccm kwenye ukuta wangu nimemzibua, sasa hivi ndio anapiga simu kwa bosi wake amletee hela ya rangi hapa
Vipi rangi ya ukuta haikubanduka?Jana hapa kwangu usiku wamepita wahuni fulani wa CCM wakabandika matangazo na mapicha ya mgombea uraisi wao Jiwe na mbunge wao Ummy.
Nimeamka nikayabandua na kutia kiberiti hawawezi nichafulia ukuta wangu wa nymba niliyoijenga kwa dhiki kubwa huku posho na mshahara wangu wameukalia kwa mabavu.
Kwa kuwadanganya misukule hamjambo
Nani anaweza bandika Bango ubalozini
Hivi nyie mbona Wapumbavu sana
Yaani kujazana Uongo mnaona wajuaji kumbe wajinga tu!!
Na Vibendera tayari vimefuata upepo
Hahaha mwaka huu Mtakiona
Fujo na jeuri ndiyo utamaduni wa John na serikali yake.yamebandikwa kwa fujo na jeuri
Achana na toto sio riziki bwabwa hiloMkuu huna picha Kama hizi ili uhalalishe hoja yako !
Kapicha haka umeshakaisti zaidi ya Mara elfu tano!
Kwa kuwadanganya misukule hamjambo
Nani anaweza bandika Bango ubalozini
Hivi nyie mbona Wapumbavu sana
Yaani kujazana Uongo mnaona wajuaji kumbe wajinga tu!!
Na Vibendera tayari vimefuata upepo
Hahaha mwaka huu Mtakiona
Ukitaka na wewe nenda kabsndike lako haya ukuta wa ikulu Chamwino, hizi zimejengwa kwa hela ya walalahoi.Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Sasa ile sura ya kikatili hata ukiremba maandiko itabadili maudhui?Kuandika kwenyewe shida
Endeleeni Kulishana matango pori
Hao nao wanapiga kura wapi!!! we unajua kwanini wametoa wamezoea kuombwa msaada kusaidia uchaguzi this time kimya wakafie mbeleKatika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Kidiplomasia kabisaKatika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Ila mataga wamelichagua jiji la Dsm kwa mapicha picha ya Magufuli hadi yanakera.Halafu wasichokijua mataga watu wakiona hiyo sura ndo wanazid kuwatia uchungu watanzania kumuona mtu ambaye amewatasa miaka mitano, mbaya zaid sura haina mvuto
T11 ana sura nzuri kama Manka wanguLissu ana sura nzuri?
Huku ni kuishiwa hoja za msingi
Kwani aliyokuwa nayo ame abort ?Mbona unahasira kama mwanamke mjamzito?