Usiniambie kwamba Lissu ana sura ya kuvutiaHalafu wasichokijua mataga watu wakiona hiyo sura ndo wanazid kuwatia uchungu watanzania kumuona mtu ambaye amewatasa miaka mitano, mbaya zaid sura haina mvuto
Lissu ana sura nzuri?Hatumtaki magufuli ni muuaji,ana sura mbaya na roho mbaya.
Mbona unahasira kama mwanamke mjamzito?Kwa kuwadanganya misukule hamjambo
Nani anaweza bandika Bango ubalozini
Hivi nyie mbona Wapumbavu sana
Yaani kujazana Uongo mnaona wajuaji kumbe wajinga tu!!
Na Vibendera tayari vimefuata upepo
Hahaha mwaka huu Mtakiona
Ulisha wahi beba mimba ukagundua Kuwa kunahasira eti!!Mbona unahasira kama mwanamke mjamzito?
Nilipombebesha mama yako ndio niligundua yote hayo.Ulisha wahi beba mimba ukagundua Kuwa kunahasira eti!!
Mama kafikaje tena!!Nilipombebesha mama yako ndio niligundua yote hayo.
Katika pitapita zangu katika maeneo mbalimbali ya viunga vya Jiji la Dar es Salaam, nimeshuhudia hivi karibuni mfumuko wa mabango na makaratasi mbalimbali ya kumnadi mgombea wa Urais wa CCM, John Magufuli pamoja na baadhi ya wagombea wa CCM wa Ubunge na hata Udiwani.
Makaratasi hayo inaonyesha yamebandikwa kwa fujo na jeuri fulani huku ikionyesha waliobandika walikuwa na kinga fulani.
Kwa mfano, nimeyaona katika kuta za ofisi za umma mfano bodi ya Utalii.
Cha kufurahisha ni pale nilipooona makaratasi yaliyobandikwa katika kuta za ubalozi wa Ufaransa, yakiwa yamefutwa ingawa kwa sababu yaliwekwa na gundi, yameharibu kuta zile.
Swali langu ni, hizi fujo kuchafua maeneo ya umma, ofisi za taasisi zisizofungamana na upande wowote, ofisi za umma na za watu binafsi pamoja na makazi yao bila idhaa yao, si kinyume cha sheria?
Mimi ndio baba yako halisi.Mama yako alichepuka nje ya ndoaMama kafikaje tena!!
Ulibea mimba ukajua Kuna hasira hahaha
Weka picha tuone kama siyo kijifarijiNimemkuta kijana mmoja anabandika bango la ccm kwenye ukuta wangu nimemzibua, sasa hivi ndio anapiga simu kwa bosi wake amletee hela ya rangi hapa
Huwo ndiyo ukweli watu hawana muda wa kuangalia iyo misura yenu iliyo pauka, watanzania wanawaza wapi watapata pesa za kujikimu kwani awamu hii maisha yamekuwa magumu mno, gharama za vyakula na mambo mengine zimekuwa juu sanaKuandika kwenyewe shida
Endeleeni Kulishana matango pori
Wewe Kila mahali upo; post za Iringa, mbeya, mwanza, Arusha kote upo. Ni robot au? You can not make life out lies....rather a becoming toilet paper in near future. Watch out!Nimepita ubalozini asubuhi mabango yapo karibu na ubalozini sio ubalozini
Chadema wacheni kuweweseka
Wanatumia gharama kubwa kujinadi utafikiri hawajulikani.Miji yote ina matangazo ya Wagombea wa CCM wiki ya pili hii
Wewe ni muongo kuliko babayako Magu ulikuwa Geita ,Pemba na sasa Dar bonge la jitu ongo dunia nzima ulaaniweNimepita ubalozini asubuhi mabango yapo karibu na ubalozini sio ubalozini
Chadema wacheni kuweweseka