Ubaya na Uzuri wa gari aina ya TOYOTA ALLEX

Ubaya na Uzuri wa gari aina ya TOYOTA ALLEX

Allex jiandae Sana kutengeneza AC, mfumo wake wa AC unazingua sana, utakuwa mteja wa condenser na compressor otherwise uamue kutembea na kitaulo. Lakini otherwise ni gari nzuri sana, mimi imenilinda mjini hapa mwaka wa sita sasa na kila siku kanakula wastani wa 70km. Piga service safi alafu uwe na fundi mmoja unayemuamini.
Et "kitaulo"[emoji1] [emoji85]
 
Allex jiandae Sana kutengeneza AC, mfumo wake wa AC unazingua sana, utakuwa mteja wa condenser na compressor otherwise uamue kutembea na kitaulo. Lakini otherwise ni gari nzuri sana, mimi imenilinda mjini hapa mwaka wa sita sasa na kila siku kanakula wastani wa 70km. Piga service safi alafu uwe na fundi mmoja unayemuamini.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] unakuta jamaa amevimba kabisa kwenye Porte!
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi wakati mtu ananunua gari, huwa haoni magari mengine mpaka dume zima linaangukia porte?? tule tugari tunaniboa na ule mlango wake wa abiria utafikiri kifodi

Bora nikae ndani ya passo au vitz iliyopimpiwa
 
RunX, Alex, Vitz, Ist, Starlet, Passo zote jamii moja tu za akina Mama kwenda Shopping.
Bora umewapaka Mkuu, hivyo vigari huwezi vipiga mguu, Dar Tabora Dar, au Dar Arusha Dar lazima utakatupa tukubaliane tu ni kagari ka SOKONI
huwezi ingiza kwa wanaume wenzako km L/Cuiser au Harrier ingawa kuna Harrier mpaka za 12m
lakini kuendesha RunX, Alex, Vitz, Ist, Starlet, Passo eti niwahi Morogoro hakuna gari itakupisha acha viende sokoni na kupeleka watoto shule
 
Bora umewapaka Mkuu, hivyo vigari huwezi vipiga mguu, Dar Tabora Dar, au Dar Arusha Dar lazima utakatupa tukubaliane tu ni kagari ka SOKONI
huwezi ingiza kwa wanaume wenzako km L/Cuiser au Harrier ingawa kuna Harrier mpaka za 12m
lakini kuendesha RunX, Alex, Vitz, Ist, Starlet, Passo eti niwahi Morogora hakuna gari itakupisha acha viende sokoni na kupeleka watoto shule
Hasira pia imetumika kutoa post[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanissan note kangu cc1500 Arusha Dar.....Dar to Arusha kanakamua fresh tu...
kapo stable sana barabarani..
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi wakati mtu ananunua gari, huwa haoni magari mengine mpaka dume zima linaangukia porte?? tule tugari tunaniboa na ule mlango wake wa abiria utafikiri kifodi

Bora nikae ndani ya passo au vitz iliyopimpiwa
Umesahau Cube... eeh bwana hako kagari sikapendii
 
Hasira pia imetumika kutoa post[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanissan note kangu cc1500 Arusha Dar.....Dar to Arusha kanakamua fresh tu...
kapo stable sana barabarani..
Huyu jamaa muongo, mi nimekasafirisha kaAllex kangu kutoka Dar to Bukoba fresh tu tena nimeovertake gari za kutosha, speed ya gari inategemea na dereva maana kwa dereva aliyekuwa ananiendeshea kagari kangu tulikuwa tunazipita hadi Harrier[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom