Et "kitaulo"[emoji1] [emoji85]Allex jiandae Sana kutengeneza AC, mfumo wake wa AC unazingua sana, utakuwa mteja wa condenser na compressor otherwise uamue kutembea na kitaulo. Lakini otherwise ni gari nzuri sana, mimi imenilinda mjini hapa mwaka wa sita sasa na kila siku kanakula wastani wa 70km. Piga service safi alafu uwe na fundi mmoja unayemuamini.
[emoji3][emoji3][emoji3]Allex jiandae Sana kutengeneza AC, mfumo wake wa AC unazingua sana, utakuwa mteja wa condenser na compressor otherwise uamue kutembea na kitaulo. Lakini otherwise ni gari nzuri sana, mimi imenilinda mjini hapa mwaka wa sita sasa na kila siku kanakula wastani wa 70km. Piga service safi alafu uwe na fundi mmoja unayemuamini.
Tofauti majina tu, wakitoa kile kinembo cha Allex na RunX hutaweza kugundua ipi ni ipiMtume na picha Basi tuone tofauti ya Alex na Runx
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi wakati mtu ananunua gari, huwa haoni magari mengine mpaka dume zima linaangukia porte?? tule tugari tunaniboa na ule mlango wake wa abiria utafikiri kifodi[emoji23][emoji23][emoji23] unakuta jamaa amevimba kabisa kwenye Porte!
Zote ni jamii moja mkuu sema porte ni kama puto lina kanafasi kidogo.[emoji23][emoji23][emoji23] hivi wakati mtu ananunua gari, huwa haoni magari mengine mpaka dume zima linaangukia porte??
Bora nikae ndani ya passo au vitz iliyopimpiwa
Ni kweli boss lqkini kimuonekano bora nikae ndani ya vitz au passo....sikipendi kile kigari na ule mlango wake[emoji23][emoji23]Zote ni jamii moja mkuu sema porte ni kama puto lina kanafasi kidogo.
😂😂 Ule mlango kama unaingia sebuleni.Ni kweli boss lqkini kimuonekano bora nikae ndani ya vitz au passo....sikipendi kile kigari na ule mlango wake[emoji23][emoji23]
Bora umewapaka Mkuu, hivyo vigari huwezi vipiga mguu, Dar Tabora Dar, au Dar Arusha Dar lazima utakatupa tukubaliane tu ni kagari ka SOKONIRunX, Alex, Vitz, Ist, Starlet, Passo zote jamii moja tu za akina Mama kwenda Shopping.
umesahau wadogo zao porte raum voltz fielder nk
Hasira pia imetumika kutoa post[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora umewapaka Mkuu, hivyo vigari huwezi vipiga mguu, Dar Tabora Dar, au Dar Arusha Dar lazima utakatupa tukubaliane tu ni kagari ka SOKONI
huwezi ingiza kwa wanaume wenzako km L/Cuiser au Harrier ingawa kuna Harrier mpaka za 12m
lakini kuendesha RunX, Alex, Vitz, Ist, Starlet, Passo eti niwahi Morogora hakuna gari itakupisha acha viende sokoni na kupeleka watoto shule
Umesahau Cube... eeh bwana hako kagari sikapendii[emoji23][emoji23][emoji23] hivi wakati mtu ananunua gari, huwa haoni magari mengine mpaka dume zima linaangukia porte?? tule tugari tunaniboa na ule mlango wake wa abiria utafikiri kifodi
Bora nikae ndani ya passo au vitz iliyopimpiwa
Huyu jamaa muongo, mi nimekasafirisha kaAllex kangu kutoka Dar to Bukoba fresh tu tena nimeovertake gari za kutosha, speed ya gari inategemea na dereva maana kwa dereva aliyekuwa ananiendeshea kagari kangu tulikuwa tunazipita hadi Harrier[emoji3][emoji3][emoji3]Hasira pia imetumika kutoa post[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanissan note kangu cc1500 Arusha Dar.....Dar to Arusha kanakamua fresh tu...
kapo stable sana barabarani..
Gari kama mkateSienta imekaaje wakuu naielewa hio gari kiasi chake.
[emoji38][emoji38][emoji38] kwa budget ya 12m ipi ni gari nzuri mkuu.Gari kama mkate
IST/ALLEX/RUNX/PREMIO(unaweza kubahatisha). Unaweza kupata pia Spacio/Raum/Carina ingawa mimi huwa sizielewi kabisa[emoji38][emoji38][emoji38] kwa budget ya 12m ipi ni gari nzuri mkuu.
Asante mkuuIST/ALLEX/RUNX/PREMIO(unaweza kubahatisha). Unaweza kupata pia Spacio/Raum/Carina ingawa mimi huwa sizielewi kabisa
waambie Mkuu,unanunua kibaby walker ukienda hapo Dodoma tu hata mbuzi na kondoo hawakupishi sembuse ng'o,mbe, km una 12m piga dude hivyo vya sokoni na skuli wawa achei kina mamaAchana na vi bebi woka nunua gari za juu juu gari siyo mafuta tu hata mchemsho inatumia