Mkuu kama shida yako ni kupishwa na ng'ombe basi nunua trektawaambie Mkuu,unanunua kibaby walker ukienda hapo Dodoma tu hata mbuzi na kondoo hawakupishi sembuse ng'o,mbe, km una 12m piga dude hivyo vya sokoni na skuli wawa achei kina mama
hivi MADA umeisoma na kuielewaMkuu kama shida yako ni kupishwa na ng'ombe basi nunua trekta
Kweli mkuu huyu boyo anajifanya ajua magari ,huwezi fanabisha VOLTZ na izo gari nyingineMkuu,usiifananishe voltz na vitu vya kipumbavu
wale wale tu votz ina nini cha ajabuMkuu,usiifananishe voltz na vitu vya kipumbavu
voltz mbona mnaitetea sana wakati iko sawa na huto mnato tudharau tu will vsKweli mkuu huyu boyo anajifanya ajua magari ,huwezi fanabisha VOLTZ na izo gari nyingine
wale wale tu votz ina nini cha ajabu
Runx na alex zitoe kwenye kundi hilo mkuuRunX, Alex, Vitz, Ist, Starlet, Passo zote jamii moja tu za akina Mama kwenda Shopping.
Nimeendesha zote iyo ya 2NZ1.8L (Runx S) na 1NZ FE 1.5L (Runx X).Mkuu nakushauri Chukua Runex ya engine 2NZ yaani ya CC 1800 utaenjoy sana ,very powerfully na comfotability with high speed ,gia box yake inameno kwa juu sf sn
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nilikuwa naifikilia hiyo 2NZ ya 1800CC,mimi najua Run x ina 1NZ 1490CC na 1ZZ ya 1790CCMkuu hiyo 2NZ ni CC 1300 na hiyo 1.8 ni 1ZZ
Swadakta mkuu ,jamaa alichanganya mafailiNami nilikuwa naifikilia hiyo 2NZ ya 1800CC,mimi najua Run x ina 1NZ 1490CC na 1ZZ ya 1790CC
Sasa ikigongwa inakuwaje hapo ?Mimi natumia Allex ni gari nzuri, ila kwenye upande wa body ni laini, ukijiroga kuikalia inabonyea[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ya 2NZ ni 1290 mkuu likely 1300cc haiwezi kuwa na nguvu na wala sijawahi kuiona runx ya 1300cc hata huko beforward.Mkuu nakushauri Chukua Runex ya engine 2NZ yaani ya CC 1800 utaenjoy sana ,very powerfully na comfotability with high speed ,gia box yake inameno kwa juu sf sn
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wa kumkata makofi tu, sema porte mi naipendea ule u cream cream wa ndani! Gari inaonekana safi mda wote ukiiosha tuπππ unakuta jamaa amevimba kabisa kwenye Porte!
Unazikumbuka zile lunch box za cello plastics πππ???Sienta imekaaje wakuu naielewa hio gari kiasi chake.
Tafta fielder 2009 ile hutajuta[emoji38][emoji38][emoji38] kwa budget ya 12m ipi ni gari nzuri mkuu.
Mkuu,nisaidie jambo,unaijua sana allex TA NZE-124?,4WD yake ni automatic ama?,maana ndo mpya na nimeiona ni 4wd ila sijaona button ya kuiingiza. 4wheel,na je ni kweli 4 wheel inabugia mafuta sana?Nimeendesha zote iyo ya 2NZ1.8L (Runx S) na 1NZ FE 1.5L (Runx X).
Zote zina run smooth, ila 1.5L more economic. Nilienda nayo Dar to Mwanza kwa mafuta ya Laki 1.2 wakati mshikaji wangu alienda na Altezza 6 cylinders akasema katumia Mafuta ya Laki 2.7 hivi.
Hadi sasa 3 years nimeimiliki sijaona tatizo kubwa. I will keep it coz inanisukuma sana.
Ukinunua usiinyayue sana unless unakaa au misele yako mabondeni sana.
Bora umewapaka Mkuu, hivyo vigari huwezi vipiga mguu, Dar Tabora Dar, au Dar Arusha Dar lazima utakatupa tukubaliane tu ni kagari ka SOKONI
huwezi ingiza kwa wanaume wenzako km L/Cuiser au Harrier ingawa kuna Harrier mpaka za 12m
lakini kuendesha RunX, Alex, Vitz, Ist, Starlet, Passo eti niwahi Morogoro hakuna gari itakupisha acha viende sokoni na kupeleka watoto shule
Umeamua kututukanaRunX, Alex, Vitz, Ist, Starlet, Passo zote jamii moja tu za akina Mama kwenda Shopping.
Pole mkuu!Umeamua kututukana