Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ni tukio la kusikitisha kule Kagera.
Askofu Bagonza lini atatupandishia maandiko kuntu ya kupinga unyama uliofurutu ada wa kumuua mtoto (MALAIKA) asiye dhambi ,kumkata viungo na kumchuna ngozi?
Lini tutapata maneno ya faraja kutoka kwake ili mioyo yetu itulie?
Hatujamuona akiandika maandiko marefu juu ya hayo, hatujamuona akiandika maandiko marefu juu ya baadhi ya viongozi wa dini Wanaolawiti watoto na vijana wenzetu.
Do not do harm
Imani kuu ni kuuthamini uhai wa mwanadamu
Nchi Kwanza
PIA SOMA
- Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
Askofu Bagonza lini atatupandishia maandiko kuntu ya kupinga unyama uliofurutu ada wa kumuua mtoto (MALAIKA) asiye dhambi ,kumkata viungo na kumchuna ngozi?
Lini tutapata maneno ya faraja kutoka kwake ili mioyo yetu itulie?
Hatujamuona akiandika maandiko marefu juu ya hayo, hatujamuona akiandika maandiko marefu juu ya baadhi ya viongozi wa dini Wanaolawiti watoto na vijana wenzetu.
Do not do harm
Imani kuu ni kuuthamini uhai wa mwanadamu
Nchi Kwanza
PIA SOMA
- Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji