Ubaya ubwela utaiathiri Simba. Umeanza na Kibu Denis, Lawi, Awesu na Valentino

Ubaya ubwela utaiathiri Simba. Umeanza na Kibu Denis, Lawi, Awesu na Valentino

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
MwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.

Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.

Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.

Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
 
MwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.

Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.

Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.

Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
Mambo madogo hayo kwetu,sisi hatyna mikataba ya Kubumba.
 
MwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.

Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.

Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.

Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
Hii kitu nilikuwa nafikiria sana kauli za kishetani wanaopewa na waganga zao Leo hii inawakositi wenyewe,ubaya ubwela wa nini??mikauli ya kiboya tu
 
MwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.

Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.

Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.

Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
What goes around comes around
 
Hii kitu nilikuwa nafikiria sana kauli za kishetani wanaopewa na waganga zao Leo hii inawakositi wenyewe,ubaya ubwela wa nini??mikauli ya kiboya tu
TANGU LINI MBUMBUMBU WAKAWA NA AKILI.....NI WAPUMBAVU WAKUBWA..

MANENO YA KIBOYABOYA
 
Back
Top Bottom