Ubaya ubwela utaiathiri Simba. Umeanza na Kibu Denis, Lawi, Awesu na Valentino

Ubaya ubwela utaiathiri Simba. Umeanza na Kibu Denis, Lawi, Awesu na Valentino

Na lile kipa lao tegemezi lililonenepa hovyo limeumia, nje miezi sita
#ubayaubwela
ubaya ubwela. Kaulimbiu yao inakwenda anticlockwise (kinyumenyume). Ombea kheri timu yako lakini usiombee mabaya timu nyingine, Mungu anataka iwe hivyo.
 
MwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.

Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.

Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.

Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
Ubaya Ubwela.

Ova
 
Ubaya Ubwela.

Ova
We haya. Nakwambia mapema kabisa b... msimu huu hakuna kubembelezana. Timu lako bovu hilo litakapoanza kupigwa mechi 3 mfululizo sitakupa pole, nitakukumbusha hii kauli yenu.
 
MwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.

Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.

Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.

Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
Ukijiombea mabaya na Mungu anakupa mabaya
 
We haya. Nakwambia mapema kabisa b... msimu huu hakuna kubembelezana. Timu lako bovu hilo litakapoanza kupigwa mechi 3 mfululizo sitakupa pole, nitakukumbusha hii kauli yenu.
Lol! B... hata kufungwa mechi mbili mfululizo haitokaa itokee msimu huu. Tumekaa vizuri sana msimu huu hadi naona August 8, 2024 inachelewa kufika, kuna midomo inabidi ifungwe mapema ili tuheshimiane.

Ova
 
Lol! B... hata kufungwa mechi mbili mfululizo haitokaa itokee msimu huu. Tumekaa vizuri sana msimu huu hadi naona August 8, 2024 inachelewa kufika, kuna midomo inabidi ifungwe mapema ili tuheshimiane.

Ova
Haya ulitakiwa uyaseme tukiwa tunaelekea uwanjani b…
Rudi bwana nimechoka kwenda uwanjani mwenyewe!
 
Haya ulitakiwa uyaseme tukiwa tunaelekea uwanjani b…
Rudi bwana nimechoka kwenda uwanjani mwenyewe!
Bila shaka b... siku zote, wakati huwa unafika tu, ugumu ni kusubiri ufike, ila itafika tu hiyo siku ya kushuhudi pamoja midomo ikkfungwa. Lol

Ova
 
MwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.

Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.

Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.

Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
October anafaata kocha kijana
 
Bila shaka b... siku zote, wakati huwa unafika tu, ugumu ni kusubiri ufike, ila itafika tu hiyo siku ya kushuhudi pamoja midomo ikkfungwa. Lol

Ova
Umenipa wakati mgumu wa kuamua nireact vipi mjinga wewe, nimerudia kusoma kama mara 10!

Lakini b… kwanini unapenda kujipa shida? Kweli kwa Yanga hii tena imeboreshwa hatujapoteza key players kama msimu uliopita unaweka imani ya kutufunga?

Mi ndio maana nimekupa angalizo kabisa sitakupa pole tena, mna midomo sana nyie.
Hasa wewe.
 
Umenipa wakati mgumu wa kuamua nireact vipi mjinga wewe, nimerudia kusoma kama mara 10!

Lakini b… kwanini unapenda kujipa shida? Kweli kwa Yanga hii tena imeboreshwa hatujapoteza key players kama msimu uliopita unaweka imani ya kutufunga?

Mi ndio maana nimekupa angalizo kabisa sitakupa pole tena, mna midomo sana nyie.
Hasa wewe.
Ubaya ubwela, muulizeni Julio awafundishe mpira ni nini.

View: https://youtu.be/Bj5y2yGqD7I?si=4QOn7FY6YcCQHskc
 
Back
Top Bottom