Ubaya ubwela utaiathiri Simba. Umeanza na Kibu Denis, Lawi, Awesu na Valentino

Ubaya ubwela utaiathiri Simba. Umeanza na Kibu Denis, Lawi, Awesu na Valentino

Duh! Hiyo ligi ya hapo Bongo kwani ina galactico, au ni kudandia tu maneno? Galactico's wacheze Tanzania?

Ova
Kwani galactico ni mchezaji gani kwenye timu/ligi
 
Kwani galactico ni mchezaji gani kwenye timu/ligi
Galactico ni neno la Kihispania linalomaanisha 'galactic' kwenye soka hutumiwa kwa kuwaelezea nyota wa soka wenye vipaji vya soka vinavyoelezewa kama 'soka la dunia nyingine'.

Yaani soka ambalo siyo la kiwango cha wachezaji wengine wengi duniani. Kama Zinedine Zidane au Cristiano Ronaldo. Galactico huwa ni maarufu duniani kote kwani hununuliwa kwa hela nyingi za uhamisho.

Kwamba siyo kila ligi ina galactico wake, ila dunia ndiyo inao hao wachache. Na Real Madrid ndiyo inajivuna kwa kutengeneza kikosi cha galactico's kati ya hao wachache waliopo duniani.

Ova
 
Galactico ni neno la Kihispania linalomaanisha 'galactic' kwenye soka hutumiwa kwa kuwaelezea nyota wa soka wenye vipaji vya soka vinavyoelezewa kama 'soka la dunia nyingine'.

Yaani soka ambalo siyo la kiwango cha wachezaji wengine wengi duniani. Kama Zinedine Zidane au Cristiano Ronaldo. Galactico huwa ni maarufu duniani kote kwani hununuliwa kwa hela nyingi za uhamisho.

Kwamba siyo kila ligi ina galactico wake, ila dunia ndiyo inao hao wachache. Na Real Madrid ndiyo inajivuna kwa kutengeneza kikosi cha galactico's kati ya hao wachache waliopo duniani.

Ova
Yanga na Simba ni timu ipi ina wachezaji wengi wenye viwango vikubwa vinavyofahamika kwenye soka la Tanzania, Afrika mashariki na Afrika? Aziz Ki anawaniwa na timu ngapi Afrika? Nzengeli je, pacome, Chama nk
 
Simba hakuna uongozi wenye weledi, wanafuata dundo la mo tu. Baada ya kufanya yote hayo lakini Kibu hana Baya kuliko Manula. Kibu alitambulishwa kama vile hakuna kilichotokea na kusahau kuwa moyo wote wa Kibu uko Ulaya hauko simba. Manula hawamtaki lakini hawamuachi, umewahi kuona wapi hiyo?
 
Ubaya ubwela Umebisha hodi ngao ya jamii. Huwezi kuombea ubaya watu wengine. Mungu hataki hivyo
 
Back
Top Bottom