Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Naitunza hii post yako ndio utajuwa kwanini Mwasibu kaukimbia uzi wake.Lol! B... hata kufungwa mechi mbili mfululizo haitokaa itokee msimu huu. Tumekaa vizuri sana msimu huu hadi naona August 8, 2024 inachelewa kufika, kuna midomo inabidi ifungwe mapema ili tuheshimiane.
Ova