ubaya ubwela. Kaulimbiu yao inakwenda anticlockwise (kinyumenyume). Ombea kheri timu yako lakini usiombee mabaya timu nyingine, Mungu anataka iwe hivyo.Na lile kipa lao tegemezi lililonenepa hovyo limeumia, nje miezi sita
#ubayaubwela
HahahaaaaMagoma fc.....ubayaaaa ubwelaaaaa
Ubaya Ubwela.MwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.
Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.
Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.
Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
We haya. Nakwambia mapema kabisa b... msimu huu hakuna kubembelezana. Timu lako bovu hilo litakapoanza kupigwa mechi 3 mfululizo sitakupa pole, nitakukumbusha hii kauli yenu.Ubaya Ubwela.
Ova
Ukijiombea mabaya na Mungu anakupa mabayaMwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.
Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.
Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.
Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
Lol! B... hata kufungwa mechi mbili mfululizo haitokaa itokee msimu huu. Tumekaa vizuri sana msimu huu hadi naona August 8, 2024 inachelewa kufika, kuna midomo inabidi ifungwe mapema ili tuheshimiane.We haya. Nakwambia mapema kabisa b... msimu huu hakuna kubembelezana. Timu lako bovu hilo litakapoanza kupigwa mechi 3 mfululizo sitakupa pole, nitakukumbusha hii kauli yenu.
Tate niache kidogo...Hivi ni kwa nini hao wachezaji Kibu na Lawi mpaka muda huu hawajaripoti kambini Misri?
Haya ulitakiwa uyaseme tukiwa tunaelekea uwanjani b…Lol! B... hata kufungwa mechi mbili mfululizo haitokaa itokee msimu huu. Tumekaa vizuri sana msimu huu hadi naona August 8, 2024 inachelewa kufika, kuna midomo inabidi ifungwe mapema ili tuheshimiane.
Ova
Bila shaka b... siku zote, wakati huwa unafika tu, ugumu ni kusubiri ufike, ila itafika tu hiyo siku ya kushuhudi pamoja midomo ikkfungwa. LolHaya ulitakiwa uyaseme tukiwa tunaelekea uwanjani b…
Rudi bwana nimechoka kwenda uwanjani mwenyewe!
October anafaata kocha kijanaMwenyeziMungu hapendezwi na kuombea mtu mabaya yamfike, anawapenda watu wanao omba na kuombea mema/kheri.
Simba wamekuja na ujinga wa ubaya ubwela msimu huu na kusahau kuwa kuombea watu ubaya hakumpendezi Mungu hata kidogo. Wamesahau kuwa mchimba kisima huingia mweyewe au huingia mtuwe.
Sasa hivi ameshanza kupata majibu ya "ubaya ubwela" kutoka kwa MwenyeziMungu mapemaaa kabla hakujapambazuka. Simba ndio timu Tanzania ambayo hivi sasa haina raha kwenye msimu huu mpaka sasa. Kibu na Lawi hawajaripoti kambini, Awesu na Valentino wana majambo kwenye timu zao za KMC na Geita Gold.
Kama hawataacha msemo wao wa ubaya ubwela hakina wataona ubaya mwingi unawasonga kila siku msimu mzima.
Umenipa wakati mgumu wa kuamua nireact vipi mjinga wewe, nimerudia kusoma kama mara 10!Bila shaka b... siku zote, wakati huwa unafika tu, ugumu ni kusubiri ufike, ila itafika tu hiyo siku ya kushuhudi pamoja midomo ikkfungwa. Lol
Ova
Ubaya ubwela, muulizeni Julio awafundishe mpira ni nini.Umenipa wakati mgumu wa kuamua nireact vipi mjinga wewe, nimerudia kusoma kama mara 10!
Lakini b… kwanini unapenda kujipa shida? Kweli kwa Yanga hii tena imeboreshwa hatujapoteza key players kama msimu uliopita unaweka imani ya kutufunga?
Mi ndio maana nimekupa angalizo kabisa sitakupa pole tena, mna midomo sana nyie.
Hasa wewe.
Tena wese linalolipuka haswaa..!!Tulikubaliana kwa jirani kukiwaka moto ni kutia wese tuu... 😂😂😂