Ubinadamu unapo ingia kwenye maslahi ya wakubwa, na kupelekea tafrani

Ubinadamu unapo ingia kwenye maslahi ya wakubwa, na kupelekea tafrani

Ktk hili KGB kdg ilizembea ,mtu walifanikiwa kumrudisha hm ili asiwakimbie lkn bado kawakimbia
Hahaha, una jua ni ngumu kumu hukumu mtu kisa tu Ume jua Kama anaiba.
Lakini swali ni ana iba na kumpelekea nani??, ana iba nini??

Na lengo lao naona walikuwa wamgeuze double mole,
Yaani atumikie kambi yao yavurusi, Huku aki jifanya ni mtumishi wa kgb
 
Back
Top Bottom