Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hapana kwa kweli, Asante kuniita ngoja niisome ntakurudiaMkubwa Black Sniper ushawahi Soma hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kwa kweli, Asante kuniita ngoja niisome ntakurudiaMkubwa Black Sniper ushawahi Soma hii.
Sawa, ziko episode 4 so Anza post ya 1Hapana kwa kweli, Asante kuniita ngoja niisome ntakurudia
Ndio naisoma very interesting 🤔Sawa, ziko episode 4 so Anza post ya 1
ahsante sana mkuuJomba episode ya mwisho tayari
kuna yule jamaa mrusi aliyeuawa ndani ya U.K leta habari zake kama unazoI mean no Malice to nobody
Maybe another time mkubwa, nitulie kwa Sasa.ahsante sana mkuu
najua una na nyingine zilete tu maana ni chakula cha ubongo
A traitor tu, kuuza Siri kwa adui ni kuhatarisha maisha ya nchi nzima.Mtazamo wako ni upi juu ya Oleg? A patriot or traitor?
Pamoja mkuu.Asante kwa kipande cha mwisho mkuu
Maybe another time Kaka, tu enjoy hii kwa Sasa.ahsante sana mkuu
najua una na nyingine zilete tu maana ni chakula cha ubongo
Ngoja mkubwa Tresor Mandala aseme neno.Mtazamo wako ni upi juu ya Oleg? A patriot or traitor?
Mzigo mwingine pia mkuu....Pamoja mkuu.
Hakika!A traitor tu, kuuza Siri kwa adui ni kuhatarisha maisha ya nchi nzima.
naam pumzika kwanzaMaybe another time mkubwa, nitulie kwa Sasa.
uzalendo kwa lipi zuri aliloifanyia nchi yakeMtazamo wako ni upi juu ya Oleg? A patriot or traitor?
usisahau jina langu Msela Wa Kitaa pamoja na usela wangu lakini hizi habari huwa hazinipiti kandoHakika!
Imebidi niingie YouTube kuna a documentary kuhusu Oleg naifuatilia. Nitaleta mrejesho!
PaMoja mkuuusisahau jina langu Msela Wa Kitaa pamoja na usela wangu lakini hizi habari huwa hazinipiti kando
nasubiria tag yako tu