Ubinafsi wa wazanzibar ulitokea wapi baada ya muungano wa Tanzania?

Ubinafsi wa wazanzibar ulitokea wapi baada ya muungano wa Tanzania?

Sasa wewe unaniuliza mimi lengo lake la kumsupport Ojukwu, mbona umekuwa mjinga hivyo? Nimekwambia kasome vitabu na references unakuja kuniambia habari za udini, mimi nimezungumzia wapi kuhusu udini?



Intercontinental Book Centre - Chapter Nine: Tanzania Recognizes Biafra


Mjinga ni wewe na Ukongwe wako.

Huyo tb amedai Nyerere alikuwa na agenda, na katika kusapoti madai yake amesema hata Makamu wa Raisi na Waziri Mkuu Mstaafu J.Sinde Warioba alikuwa anamshangaa,
Je, hayo ni ya kweli?

Wapi hapo katika historia yetu pameandikwa Kwamba Warioba alikuwa anamshangaa Nyerere na "agenda" zake?
Agenda ambazo huyu TB anadai Nyerere, nim quote hapa......
"Bahati mbaya hizo agenda zake hawezi ziweka wazi...
...na kutoa mifano, mifano kama
"Muungano"? Kweli hayo kwamba hiyo ilikuwa "agenda" ambayo haikuwa hadharani?

"kungoa reli mikoa ya Kusini"?
Je kwa sababu zipi mahususi?

"Kuzuia kilimo cha pamba mikoa ya kusini." ?

"Ku sapoti waasi Nigeria
" kinyume na maazimio ya OAU...
**********
Kwanza kiuhalusia hakuwasapoti "waasi" kama unavyotaka kuaminisha hapa....ila Tanzania iliitambua Biafra kama Nchi huru hatahivyo waliowapa sapoti hao "waasi" kabla ya kujigawa ilikuwa ni Nchi za Magharibi.

Je nina weza vipi kutafsiri madai ya TB;

Kwamba Nyerere alikuwa na "Agenda za siri"
Kwamba Nyerere alikuwa ni Muasi
Kwamba Nyerere alishindwa ku heshimu Maazimio ya OAU au hata vyombo vingine kama hivyo!

Narudia wewe na huyo tb ni wapotoshaji, na sasa mmekuwa hodari.
Niwaulize Hizo ajenda mnazodai hazikuwekwa wazi ni zipi, nini kilikuwa chanzo cha mgogoro wa Biafra?
Sasa mje na uwongo upotoshaji, na ukafir wenu tena.
 
Zanzibar hawajawahi kuutaka huu Muungano. Na ndio mana hadi hii leo hawautaki. Ila watanganyika ndio wanaoutaka na kuung'ang'ania. Kwahiyo acheni kulalamika kinafik
Sidhani kama huu muungano unatakiwa na watanganyika, bali viongozi wa ccm ndio wanaushurutisha muungano huu.
 
Nyerere kuna mambo alifanya Kwa "agenda"...
Bahati mbaya hizo agenda zake hawezi ziweka wazi..
Ndo mana hata kina Warioba walikuwa hawamuelewi...

Muungano...
Kung'oa reli mikoa ya kusini
Kuzuia kilimo cha pamba mikoa ya kusini..
Ku sapoti waasi Nigeria kinyume na maazimio ya OAU...
Na mengineyo mengi sana
Huu ukondoo na uzombie Tanzania hii ni sababu ya Nyerere kuwa rais wa nchi hii. Leo hii nchi hii iko kwenye maagano ya kishirikina sababu yake. Muungano huu ni amri yake, na ule mwenge wa uhuru ambao ni jambo la kishirikina ni utashi wake. Leo hii mambo hayo hayana maana yoyote lakini bado yako bila maelezo ya kujitosheleza. Ni hadi siku tunavunja hayo maagano ndio Tanzania itarudi kwenye usahili wake.
 
Naunga Mkono kurekebisha Kero za Muungano lakini siungi Mkono Kuvunjika Kwa Muungano.

Siungi Mkono Serikali Tatu, Hii itawapa uhalali kabisa Zanzibar kuwa Nchi inayojitegemea na Muungano hautakua na Maana yoyote.

Katiba inapaswa kuwa Moja, Raisi Mmoja, Baraza la Mawaziri Moja na Wimbo mmoja wa Taifa. Ardhi yote iliyopo Tanzania iwe chini ya Wa Tanzania wotee Bila Kujali Eneo la Kijiografia, hoja ya Kusema Zanzibar ni ndogo Ardhi ibaki Kwa wazanzibar ni hoja mfu isiyo na Mashiko yoyote.

Hata wachina Leo Hii wanahangaika kuileta HongKong na Taiwan kuwa sehemu Moja na sio Ile One Country two Systems, Huu ni Uhuni. Huwezi ukasema Una nchi halafu watu wake wamegawanyika na wanaviongozi tofauti. Itakuaje Siku Raisi wa Zanzibar akiamua kusaliti na Kupewa Nguvu na Mataifa Dhalimu maana hata Askari japo wako chini ya Jeshi Moja lakini tayari wako katika Nchi inayojitegemea kbisa kikatiba na Raisi.
Hilo la kurekebisha kero za muungano limeahashindikana maana Zanzibar hawako tayari kupoteza nchi yao. Na kwa maneno marahisi na yaliyowazi kwa uhalisia wake ni kiwa Zanzibar haiutaki muungano huu ambao unalazimishwa na viongozi wachache wa CCM.
 
Sio watanganyika ndio wanautaka ni viongoz wa CCM, sisi wananchi wengi hatuutaki

Ni kipi wananchi wa Tanganyika wamewahi ku a temp katika kuukataa huu muungano? wazanzibar wamefika mpaka hatua ya kopoteza maisha kwenye kulipigania hili.
 
Sidhani kama huu muungano unatakiwa na watanganyika, bali viongozi wa ccm ndio wanaushurutisha muungano huu.
Ni kipi wananchi wa Tanganyika wamewahi ku a temp katika kuukataa huu muungano? wazanzibar wamefika mpaka hatua ya kopoteza maisha kwenye kulipigania hili.
 
Zanzibar hawajawahi kuutaka muungano una uhakika? Rate ya uhamiaji kutoka Zanzibar kuja bara unaijua?

hivo ni vitu viwili ambavyo havina mahusiano, Muungano ni wakisiasa wewe unaleta masula ya kijamii, Wazanzibar wapo kila sehemu nchi nyingi tu haimaniishi kuwa zote hizo pana muungano.
 
Ni kipi wananchi wa Tanganyika wamewahi ku a temp katika kuukataa huu muungano? wazanzibar wamefika mpaka hatua ya kopoteza maisha kwenye kulipigania hili.
Tanganyika ndio iliimeza Zanzibar na sio kinyume chake. Mbakaji atakaataje tabia yake, mbakwaji ndio inatakiwa kujitetea.
 
Back
Top Bottom