Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Tusaidie kujibu hoja za prof Shivji basi
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Nakubaliana nawe kuhusu utata lugha ni kwamba waliosaini mkataba hawakuuelewa. Lakini pia Elimu ya uwekezaji unahitajika. Hatutofika Kwa Imani za Uzawa tuu
 
Unajua maana ya iyo article 23?, Kwenye mikataba kinaitwa Umbrella clause ambayo ukiiangalia vizuri inamlinda zaidi mwekezaji kuliko sisi na ndio wanakitumia huko kote walikowekeza kunyonya na Incase ikatokea mgogoro hiyo article 20 haiwezi kusaidia ukizingatia wanasheria wa serikali ya CCM kushinda kesi nje ni nadra kwanza wanakula mlungula tu kwaiyo tunaweza kujikuta watanganyika tumeangukia kwenye madeni yasiyo na kichwa Wala miguuView attachment 2649684
Kwa hiyo inatakiwa isiwepo au iwepo na yapi ni madhara yake ukizingatioa tunavutia wawekezaji?
 
Hakuna ata hiyo mikataba, as yet. Hiyo ni framework tu. Ata hiyo agreement inataka HGA zikisainiwa ziwe siri.

Mambo wanayopigia kelele Article 20 na 23; ni mambo ya kawaida if anything ni aspects za ‘stabilisation clauses’ ata sijui kwanini wameziweka tofauti.

Na hakuna mkataba wa kimataifa popote duniani usio na ivyo vipengele. Nimeskiliza Lissu contract
law inaonekana is not his thing, maelezo yake yana upotoshaji mkubwa. Sio kwa makusudi, ila uelewa.
Sheria ni taaluma iliyolaanika
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
kingereza ambacho miguna wa miguna ameshindwa kukuelewa,dr slaa,warioba,tindu lissu,prof shivji,tls na wengineo wote weshindwa kukielewa hiko kingereza ila wewe tu na kina kitenge ndo mloweza kukielewa,hongera sana
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Pumbavu
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Huu ulikuwa ni ushuzi baridi
 
Hao baadhi wana maslahi binafsi bandarini

Wanahofu ya kesho yao
Mkuu hao wengi ni wamiliki wa clearing and Forwarding agents

Sijajua wanaogopa nini hao baadhi ya mawakili kwenye kampuni zao za clearing

Tunawafahamu

Kelele zao ni kama za Mpina ,Mpina yeye alipora mashamba Morogoro akajisahau na kunyooshea vidole wengine
Hujajibu swali uliloulizwa, na swali ulilojibu hujaulizwa.

Umesoma uchambuzi wa Tanganyika Law Society?
 
Pangua hoja zao, moja bada ya nyingine, kisheria.

Nauweka tena uchambuzi wao hapa.
Hao TLS hawana hoja za msingi ,Dawa yao ni kuwapoka cheti cha uwakili wakalime au wakawe mawakili burundi huko kuna uhaba
 
Hakuna ata hiyo mikataba, as yet. Hiyo ni framework tu. Ata hiyo agreement inataka HGA zikisainiwa ziwe siri.

Mambo wanayopigia kelele Article 20 na 23; ni mambo ya kawaida if anything ni aspects za ‘stabilisation clauses’ ata sijui kwanini wameziweka tofauti.

Na hakuna mkataba wa kimataifa popote duniani usio na ivyo vipengele. Nimeskiliza Lissu contract
law inaonekana is not his thing, maelezo yake yana upotoshaji mkubwa. Sio kwa makusudi, ila uelewa.
Km sio mkataba bunge lilijadili nini?
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Hilo ni ukweli 100%


Niliona toka siku nyingi sana.


Siyo tu Lugha ya Kingereza inatupiga chenga wengi, bali Kiswahili pia hakiwezi kutafasiri maneno yote yanayotumika kisheria kutoka Kingereza yakaleta maana iliyokusudiwa kwa Kiswahili.

Mfano: maneno kama "agreement" "contract" "Convention", "a Protocol", "a Pact", "an Accord". Yote hayo kwa Kiswahili huna zaidi ya kutafsiri au makubaliano au mkataba ili ufahamike.

Kama haitoshi,sheria yenyewa kwa Kingereza iina maneno mengi ya ki Latin.

Hao wanaojiita wanasheria wasomi waseme walisomea ki latin miaka mingapi? Kingereza chenyewe wana force tu.
 
Hilo ni ukweli 100%


Niliona toka siku nyingi sana.


Siyo tu Lugha ya Kingereza inatupiga chenga wengi, bali Kiswahili pia hakiwezi kutafasiri maneno yote yanayotumika kisheria kutoka Kingereza yakaleta maana iliyokusudiwa kwa Kiswahili.

Mfano: maneno kama "agreement" "contract" "Convention", "a Protocol", "a Pact", "an Accord". Yote hayo kwa Kiswahili huna zaidi ya kutafsiri au makubaliano au mkataba ili ufahamike.

Kama haitoshi,sheria yenyewa kwa Kingereza iina maneno mengi ya ki Latin.

Hao wanaojiita wanasheria wasomi waseme walisomea ki latin miaka mingapi? Kingereza chenyewe wana force tu.
Wamekuchokoza
 
Kuna watu maisha yao ni kiingerea; wanakula kiingerea, wanakunywa kiingera, wanvuta hewa kiingerea halafu uwaone kuwa wote hawajui maana ya mktaba huo? Tanzania imeshakumbwa na mikataba hii ya kijingwa kwa muda mrefu na ikatutia matatizoni sana, ndiyo maan watu wenye akailia wanaiweka wazi kusudi huko mbeleni tusijealumiana tena. Majuzi tumeambiwa serikali imeripa pesa nyingi sana kukomboa ndege yake ambayo ilishikiliwa kwa sababu mktaba mmoja mbovu ambao haukuwa na tija kwa nchi ulivunjwa.

Mwekzaji hakataliwi bali mkataba ndio una matatizo. Kama serikali haina wansheria wa kuandika mktaba mzurri kwa niaba ya serikali wao ni ku-intial mikataba inayoandikwa kutoka nje basi wawa husishe waonpinga mkataba huo katioka kuuandika upya. Inawezekana kuna watu wameshatafuna fungu na wanaona ugumu wa kulirudisha iwapo mkataba utabadilishwa!
 
Back
Top Bottom