MANYEMA ALEX
Member
- May 3, 2023
- 51
- 55
Inawezekana kabisa....kuna watanzania takribani milioni 50 wamefundishwa kua Bendera ya Taifa inazo rangi nneamini mwanetu aandike kama articles zinavosema na co kiswahl chake.. Yn wa tz wote mil 60 tushndwe kujua icho kingereza afu ujue wewe tu?
Wapo SomaliaKwani Dubai hawana Bandari mpaka waje Dar, kwa nini hawajaenda Kenya, Msumbiji au Somalia. Tenda ilitangazwa kwa uwazi na Bunge kuambiwa mapema? iweje mnatujulisha sasa.
Usisahau na zile cases walizonazo kwenye mahakama mbalimbali dunianiWapo Somalia
Wapo USA'
Wapo UK.
Wapo Belgium....
Ingia Google andika how many countries Dpworld is operating.....
yaani wee unaakili kunizidi mimi....yaani bandari inaleta hasara kiasi kwamba tubinafsishe..au serikali ya tz imeshindwa kusimamia ?dubai waje kutusaidia kukusanya kodi na kushusha makasha na kupakia...hata iwe mwaka mmoja mbona hata mimi naweza kuisimamia....tupokezane kila cham au kila mkoa usimamie bandari kwa mwaka mmoja tu..kuliko kuwapa hao waarab..tuile wenyewe keki yetu...ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!
Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.
Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Ina prove Jambo moja..zipo nchi zenye mikataba mizuri na hao hao Dpworld....Usisahau na zile cases walizonazo kwenye mahakama mbalimbali duniani
Hatudanganyiki, hata kama ni uelewa ndiyo sisi sisi watanzania hatutaki...Nyie mnao elewa katafuteni nchi yenu nyingine muwape hao DP hizo bandari za nchi yenu, sisi ambao ni wajinga hatutaki hayo maendeleo yenuShida ni watu ambao wanasoma bila ya background knowledge, article 23 (4) inaelezea uwezi kuvunja mkataba kiholela.
Article 20 inaelezea taratibu sahihi za kufuatwa kunapo migogoro kwanza inapendekezwa diplomatic dialogue, ikishindikana ndio baraza la usuluhishi S.A; hiyo sehemu uchaguliwa na kukubaliwa na pande zote.
Shida ni uelewa tu
Na kwasababu ya upumbavu "wetu" unaojieleza kwenye mikataba karibu yote iliyopo, hatutaki kuingia kwenye huo mzigo hasa wakati huu....Ina prove Jambo moja..zipo nchi zenye mikataba mizuri na hao hao Dpworld....
No Sisi na upumbavu wetu kama mkataba wetu sio mzuri...
Leo naona akili imekurudi vizuri...Tupo pamojaWe Jamaa Kwa hiyo wale waliochambua na kuelezea mapungufu hawana maana?
Pili Kuna mikataba ya sura kama hiyo iliwahi fangika Nchi zingine ikaleta shida Bado unaona ni sawa?
Swala.sio.kubinafsisha issuee ni terms za ubinafsishaji
Na kwasababu ya upumbavu "wetu" unaojieleza kwenye mikataba karibu yote iliyopo, hatutaki kuinhia kwenye huo mzigo hasa wakati huu....
Mbowe na yule kilaza Lema kwani wanasemaje?ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!
Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.
Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Weka mkataba hapa tuone huo upotoshaji.Watu wanachozungumzia ni unyeti wa bandari n historia ya kampuni hiyo.ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!
Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.
Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Hili jitu halina akili yan mtu asije kazini mwezi mzima alafu kuvunja nae mkataba mpaka mkubaliane na mtu huyo huyo alokosea? Akigoma kukubali unafanyaje? Hii nchi ina watu viazi sana....Safari hii tutajua nani zipo kichwani nani hazipo, yan ccm na watu wake ni hopless kabisaaMkataba uvunjwe kwa makubaliano ya pande mbili …kwa hiyo anae under perform au asietekeleza wajibu wake halafu akakataa hayo " Makubalino ya pande mbili ' nini kinatokea ?
tunataka TOR za Mkataba sio blaa blaaa
TICKS hawakupewa ardhi, walipewa huduma ya bandari...Ni tofauti kubwa sanaHata hivyo je mkataba umeshasainiwa??
Je ni kweli hakuna kikomo?
Kipi cha kweli na kipi uzushi?
Dpworld na Ticts...mikataba Yao inatofautiana wapi?mbona kulikuwa hakuna mapovu Kwa Ticts??
Wewe ni m.ku..ndu kweli kwa hiyo kingireza unakijua wewe tu hapa TzELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!
Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.
Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Nendeni mkauze Visiwa vyenu kenge nyieELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!
Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.
Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Tatizo la wakazi wa Visiwani wanahi sana kuingiliwa kinyume na maumbileELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!
Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.
Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Hilo linaeleweka binadamu wote atuwezi kuwa na mtazamo sawa.Hatudanganyiki, hata kama ni uelewa ndiyo sisi sisi watanzania hatutaki...Nyie mnao elewa katafuteni nchi yenu nyingine muwape hao DP hizo bandari za nchi yenu, sisi ambao ni wajinga hatutaki hayo maendeleo yenu