Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

Bandari kavu Rwanda ipo under operation na DP WORLD na sisi tunataka kumpa DP WORLD bandari zetu zote apakue mzigo bila sisi kujua. Aje apakue shehena za silaha apeleke kwenye bandari zake kavu huko Rwanda. Najaribu kuwaza usalama wetu utakuwaje na TISS yetu iliojaza UVCCM wa aina ile???????

Nani amewaza kama mimi?????
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Peleka Uquma huko na wewe.

Wewe umeona kuna mahali inaonesha limit ya muda wa mkataba
 

Attachments

  • Gallery_1686391733062.jpg
    Gallery_1686391733062.jpg
    77.1 KB · Views: 2
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Sawa mleta mada wewe na mataga wenzio ndio mnajua kiingereza.

Hujui sisi wengine ni graduates wa vyuo bora UK unadhani huko tulikuwa tunafundishwa kwa kihindi..??
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.

Una utindio wa ubongo wewe.
Nani kakwambia watanzania hawajelewa mkataba.

Hebu tutafsirie wewe mwingireza tuone labda utakuja na uelewa tofauti na walivyoelewa watz wengine
 
Bandari kavu Rwanda ipo under operation na DP WORLD na sisi tunataka kumpa DP WORLD bandari zetu zote apakue mzigo bila sisi kujua. Aje apakue shehena za silaha apeleke kwenye bandari zake kavu huko Rwanda. Najaribu kuwaza usalama wetu utakuwaje na TISS yetu iliojaza UVCCM wa aina ile???????

Nani amewaza kama mimi?????

[mention]Covax [/mention] pita hapa upate abc
 
Wapi wamesema bandari inauzwa?

Wapi wamesema huwezi vunja mkataba
Wewe ni mwehu.

Hadi itumike ligha ya kuuza ndo uone kuwa umeuzwa ?

Kuwa na akili wewe ?

Nimekwambia unioneshe ni wapi kwenye mkataba inaoesha huu ni ubinafsishaji kwa miaka mingapi ?

Upo unajing'ata ng'ata tu
 
Aisee Watanzania aliyeturogaa alituwezaaa,,sijajua kama umepewaa sh ngapii hadii kuandikaa utumbo wako hapaa,watu kama nyiee ni wakukusanyaa na kuwatupaa baharinii mnaojifanyaa kila kitu ni kusifiaa tuu nyiee ni watu wabayaa saana zaidii ya nyokaa,,watu mnaojalii matumbo yenu tyuu shame on you,,,,
Hawa chawa hawastahili kuishi
 
Mkuu umewahi fanya biashara kweli wewe?

Unawezaji kuvunja mkataba bila makubaliano
Unajua maana ya kuvunja mkataba kweli wewe? Mimi nimeamua kuvunja mkataba alafu nakubaliana na nani? Yaani nianze kukubaliana na ninaetaka kuvunja mkataba nae? Akikataa??

Kuvunja mkataba maana yake ni kuacha kutekeleza kilichopo kwenye mkataba, uwe na sababu au bila sababu. Mkataba unatakiwa umpe haki mtu kuvunja mkataba na uhainishe vigezo au nini kitatokea iwapo.mmoja atavunja mkataba.
 
[QUOTE="The Boss, post: 46741791, member:
Wapo USA' ....[/QUOTE]
Acha kupotosha wewe, huko USA pamoja na Rais wa wakati huo George Bush kuwapigia promo, walikataliwa kwa kura 62-2!
 
Unajua maana ya kuvunja mkataba kweli wewe? Mimi nimeamua kuvunja mkataba alafu nakubaliana na nani? Yaani nianze kukubaliana na ninaetaka kuvunja mkataba nae? Akikataa??

Kuvunja mkataba maana yake ni kuacha kutekeleza kilichopo kwenye mkataba, uwe na sababu au bila sababu. Mkataba unatakiwa umpe haki mtu kuvunja mkataba na uhainishe vigezo au nini kitatokea iwapo.mmoja atavunja mkataba.
Hasara itabebwa na nani?
 
Unajua maana ya iyo article 23?, Kwenye mikataba kinaitwa Umbrella clause ambayo ukiiangalia vizuri inamlinda zaidi mwekezaji kuliko sisi na ndio wanakitumia huko kote walikowekeza kunyonya na Incase ikatokea mgogoro hiyo article 20 haiwezi kusaidia ukizingatia wanasheria wa serikali ya CCM kushinda kesi nje ni nadra kwanza wanakula mlungula tu kwaiyo tunaweza kujikuta watanganyika tumeangukia kwenye madeni yasiyo na kichwa Wala miguuView attachment 2649684

1 Vyama vya serikali vinakubaliana kwamba DPW itakuwa na haki pekee ya kukuza, kusimamia, na/au kuendesha mradi kama ilivyoelezwa katika kiambatisho 1 hatua ya 1, moja kwa moja au kupitia washirika wake chini ya makubaliano haya kama itakavyoelezwa zaidi katika makubaliano husika ya mradi na makubaliano husika ya HGAs.

Kujua kutafsiri siyo shida shida haya ni mambo ya SHERIA wanasheria watusaidie
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Basi tuwalaumu wananchi kwa kuweka mitaala mibovu ya elimu.
 
Back
Top Bottom